Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 10 May 2012

Mchague Joseph Lukaza !!!!!!!


Mchague JOSEPH LUKAZA ili aweze kuibuka mshindi katika shindano la EXCEL WITH GRAND MALT katika chuo kikuu cha Dodoma katika  Category ya Innovation Nominee
Jinsi ya kushiriki kwa njia ya kutuma ujumbe mfupi wa simu unaandika
"INV UDOM JOSEPH LUKAZA 3rd year" alafu unatuma kwenda namba 0653202000.
Na unaweza kupiga kura kwa kutumia tovuti
 
                             

2 comments:

emuthree said...

Haya ndugu wa mimi, Tupo pamoja, nashukuru sana kwa kuwajali wenzako, wewe ni mtu wa watu, au sio, Twipo pamoja

Rachel Siwa said...

Ahsante sana ndugu wa mimi,Waswahili wanasema urafiki wa kweli upo moyoni na si Usoni tuu.Pamoja daima ndugu wa mimi!!!!