Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Tangazo. Show all posts
Showing posts with label Tangazo. Show all posts

Wednesday 2 January 2013

Jukwaa Jipya la Malumbano ya Hoja;Filosofa Forum!!!!!


Filosofa Forum Imevutia Wengi

Discussion forum mpya – Filosofa Forum ni jukwaa jipya la malumbano ya hoja. Tangu kuanzishwa rasmi siku chache zilizopita kumekuwa na mlolongo wa wapenda hoja kujiunga na kuchangia hoja mbalimbali.

Malengo ya timu inayoendesha jukwaa hili ni kuhakikisha inampa kila mtu nafasi ya kutoa mawazo, kuuliza maswali, kuchangia hoja, n.k, bila kujali jinsia, maumbile, uwezo, cheo, kabila, itikadi au dini. Jukwaa hili limeundwa kwa kuzingatia maadili ya mtanzania. Maneno ya matusi yananaswa (detected automatically). Ni rahisi kujiunga au kuchangia hoja. Huhitaji ujuzi wa kompyuta wa hali ya juu sana kutumia. Karibu ujiunge uelimike na kuelimisha wengine.

Monday 10 December 2012

Da' Mamie Msuya;Anawakaribisha kwenye MISA Ya mama Yake Mpendwa!!!









Mrs 'Mamie Msuya



Familia ya Mr&Mrs Liberty Msuya inapenda kukualika/kuwaalika katika misa ya arobaini ya mama yao mpenzi; BULUNGU. (RIP) .

Itakayofanyika Jumamosi tarehe 15/12/2012,saa 8:oo Mchna[2:00pm]. 
katika ukumbi wa; Henley Green Primary School/Community Centre, Wyken Croft CV2 1hq.
  
Dress code black, white, or purple.
Kwa Mawasiliano Zaidi;07405389488[da'Mamie Msuya]

Ukipata Ujumbe huu wajulishe na wengine.
  Asanteni  na Karibuni Wote.