Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Ndoa. Show all posts
Showing posts with label Ndoa. Show all posts

Sunday 21 September 2014

USIKU WA DENIS B. MSAKI (NASIBU) NA SIAEL NDANI YA UKUMBI WA GREEN LEAF KIMARA KOROGWE


Kati kati ni Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki wakiwa na wasimamizi wao katika harusi yao takatifu iliyofungwa katika kanisa la Roman Katoliki parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar es salaam.
Maharusi Denis na Siael wakimtanguliza Mungu kabla ya kuanza kwa sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf Kimara Korogwe.
 
Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki siku ya jana ya tarehe 20/09/2014 ndio siku yao ambayo walikuwa wanaisubiri kwa muda mrefu baada ya kutimiza ndoto yao katika uchumba wao na kufunga ndoa takatifu katika kanisa la Roma parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar na baadae ikafuatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf uliopo Kimara korogwe jijini Dar es salaam.
Sherehe hiyo iliongozwa na MC msanii maarufu wa maigizo Bwana Novatus Michael anayejulikana kwa jina la kisanii kama Nova

Friday 7 December 2012

Nderemo Na Vifijo kwa Kaka Frank Mungo'ngo' Na da'Levina Kimwaga!!![2]





































Waungwana;ni Bwana na Bibi Mungo'ngo' sasa......

Picha za pamoja na Wazazi,Ndugu,Jamaa na Marafiki.

Bwana na Bibi Mungo'ngo' wanasema Asanteni woote, kwa Maombi/Sala,Michango,Kujumuika na katika Yooote.

Hawana cha kuwalipa bali ni kuwaombea kwa MUNGU awaongezee pale palipopungua na awalinde kila iitwapo Leo.........

Mtawasamehe kama kulikuwa na makwazo/kukosea,Haikuwa kusudi lao.  kwani Binadamu hatujakamilika.

Wanawapenda  Wooote!!!!!!!!!

       
 Timu Nzima ya "Swahili Na Waswahi" na Wapenzi/Wadau Tunawatakia Masiha Mema.
                                            Pamoja Daima.

Wednesday 5 December 2012

Nderemo Na Vifijo kwa;Kaka Frank Mungo'ngo' Na da'Levina Kimwaga!!!!![1]

           Da'Levina na Mpambe wake  wakielekea Kanisani.
         kaka Frank na Mpambe wake wakisubiri
  Mmmhhh mmependeza sana
      Wametulia ndani ya Nyumba ya Ibada
   Yaanii wee acha tuu!!!!
        Tuependezaaa Hahahaahaa 
             Viapo..
             Mmmmhhh Mke Mkeo kaka Frank......
   Naona Mchungaji Hiza yupo makini....
                Pingu/Pete...........
         Hahahahah Busu la kwanzaaaaaaa..
   Hahahahahhhhh   Mr&Mrs Mungo'ngo......MUNGU asimamie Ndoa yenu!!!!!!!
     MmePendeza sana Wapendwa... 
Mchungaji Hiza,Wapembe na Ma-Arusi MUNGU  awe nanyi...
     Furahaaaaa
  Mmmhhhh Mmependezaaaaaaaaaaaa...
   Uwiiiiii Tumemalizaaaaa sasa...

      Haya Mr&Mrs Mungo'ngo'
    Nzuriiiiiiii kupita Maelezooooooo...
                 Da'Levina na Wapambe....
      Umenoga dadake!!!!
Pendeza mnoo babake!!!
                   Mapoziii kwa Raha zako.....
          Sasa lazima ujidai babake!!!!!!!
         Safari ya kuelekea Kwenye Ukumbi sasa.....
         Ukumbini.......
    Hapo vipi...Hapo sawa sawiaaaa...Mr&Mrs Mung'ngo'.

Waungwana;Wapendwa wetu kaka Frank na da'Levina, Wameungana kuwa kitu kimoja/Kufunga Ndoa.
Alichokiunganisha MUNGU  Binadamu hawezi kukitenganisha. Sasa ni Bwana na Bibi Mungo'ngo'.


Mimi na Familia Yangu,Tunawatakia kila lililo jema,Baraka,Amani,Upendo,Huruma,Samahani,Asante,Uvumilivu, Muwe Pamoja kwa kila Shida na Raha.Mkazae Matunda Mema.

Picha Zitaendelea Usicheze mbali...

"Swahili NA Waswahili" Pamoja saaaana.