Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 26 February 2013

Watanzania wa Ujerumani kusherekea miaka 49 ya Muungano ,jumamosi 27-04-2013 Mjini Koln ! Ujerumani.!!!!!



Umoja wa watanzania Ujerumani (U.T.U) Unapenda kuwajulisha kwamba  Sherehe za miaka ya Muungano Wa Tanzania Bara na Visiwani zitafanyika mjini Koloni, ujerumani siku ya jumamosi Tarehe 27.04.2013 Kuanzia saa 8 za Mchana
katika ukumbi wa Circus Fabric uliopo katika anuani hii::- 
Bergisch Gladbacher Strasse 1007a
51069 Kцln

Vikundi mbali mbali vinatarajiwa kutumbuiza
Ufunguzi saa 8 mchana
Maigizo ya watoto  
Sarakasi ya watoto
Sarakasi ya wakubwa
Ngoma za kiasili kutoka Tanzania 
Break Dance 
Live Bands
Maonyesho ya mavazi ya kisili ya kitanzania
Pia kutakuwa na chakula (a.k.a mnuso)

Kila mtanzania anaweza kushiriki kuuza bidhaa zake binafsi za sanaa kama Vinyago, picha,michoro, ususi NK. kuchukua nafasi katika ratiba ya maonyesho, wasanii wanaotaka kushiriki katika maonyesho wanatakiwa kujiandikisha moja kwa moja kwa Mwenyekiti wa UTU kupitia barua pepei ifuatayo-:


Cell:   +491733 779720 
Cell    +491734297997
Umoja ni Nguvu! Utengano ni Udhaifu !


2 comments:

emuthree said...

HONGERENI SANA, Maana kama unjali muungano ina maana unjali urafiki na udugu,

Yasinta Ngonyani said...

Hakina naungana na aliyetangulia ukiungana basi udugu ,ujamaa na urafiki utadumu..Nawatakia kila la kheri...