Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 31 January 2013

Jikoni Leo,Shaba,Soda Mtungini na.....!!!!!!


    Kitu cha Shaba..Pilau..haswaa hii la Shughulini.....


Soda za kwenye Mtungi...nimezipata hukooo Ruhuwiko....

  Kitu Chipsi na Nyama Choma/kuku..... hapa Diet hakuna...

Waungwana;Jikoni Leo..Mambo kama hayo....
mimi sina meengi..zaidi  nasubiri kutoka kwako ..

Umeshawahi  Kula shaba/Pilau.Chakula cha Shughulini?...Nini ubaya wake na Nini Uzuri wake?

Karibuni sana kwa Maoni/Ushauli na Kuelimishana kwa upendo.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Saaana.

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Huu sasa ni uchokozi kabisa..vipi kachiki hakuna ugali na matembele au kisamvu leo?..Na maji je? maana naona kuna soda tu:-)

Rachel Siwa said...

Kadala shaka ondoa kabisa hapa kila kitu..maji ya mtungini,Matembele,Kisamvu,Dagaa,Mrenda,Ugali wa Muhogo na.............