Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 24 July 2012

Kundi la watu wanaodhaniwa majambazi wamevamia baa ya Chonya...

Kundi la watu wanaodhaniwa majambazi wamevamia baa ya Chonya eneo la River Side jijini DSM, leo asubuhi na kupora fedha..




Wakazi wa Ilala Sharifu Shamba Wamebaki wana shangaa na Kuogopa, Baada ya kusikia milio ya risasi!!!


 Poleni sana.




Shukrani; ITV.

1 comment:

emuthree said...

Tunaomba maaskari kuingia mitaani mara kwa mara maana majambazo sasa wanajificha huko na kupora!