Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 31 March 2014

Jikoni Leo; Nyama Choma - How to Eat Your Meat the East African Way,Tanzanian Mishkaki - Beef and Chicken Kebabs

Waungwana;"Jikoni Leo" Mmmmmmhhh mambo ya mitaani Bongo Tanzania....
Lakini wa Ughaibuni/Ng'ambo..hasa U.K. Hali ya hewa kwa sasa si mbaya saaana..unaweza kufanya mambo haya.





Shukrani;Mark Wiens

"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Sunday 30 March 2014

Nawatakia JumaPili Njema na Happy Mother's Day;Burudani kutoka -African Gospel.....[Mchanganyiko]!!!!!!!!


Happy Mother's Day to all mothers, may GOD bless you.
Natumaini Jumapili hii inaendelea vyema..

Lakini  yanenaje?Lile neno li karibu nawe, katika kinywa chako, na katika moyo wako; yaani, ni lile neno la imani tulihubirilo.

Neno La Leo;Warumi:10:5-15

Tena wahubirije, wasipopelekwa?kama ilivyoandikwa,Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema. 




"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana

Saturday 29 March 2014

Jikoni Leo;Afya na Jamii-How to be slim _ BBC DOCUMENTARY_health documentary!!!!!

Waungwana ni "Jikoni Leo"; Tuangalie Afya zetu na Vyakula,Vinaweza kuwa Sumu au Dawa......


Sina mengi twende Pamoja...


"Swahili Na Waswahili" Pamoja Sana.

Tuesday 25 March 2014

Monday 24 March 2014

[AUDIO]: Mdau Boniface Makulilo akijadili suala la Scholarship katika kipindi cha NJE-NDANI‏

Mdau Ernest Makulilo ambaye huandika kuhusu masuala ya Scolarship HAPA na pia kutoa video za suala hili HAPA
UNATAKA SCOLARSHIP?
Unajua pa kuzipata?
Unajua namna ya kuzipata?
Masharti yake je?
Makosa yanayofanywa na wengi?
Tofauti ya Scholarships za Undergraduate na Graduates wazijua?
Yapi ya kuchunga wakati wa kutafuta scholarships?
Boniface Makulilo ambaye amenufaika na scholarship hizi na kuandika kuzihusu kwa miaka ipatayo sita anaungana na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kujadili hili.
Kuna mengi mema ya kujifunza.
KARIBU

NJE-NDANI ni kipindi kutoka Jamii Production Washington DC kinachokujia moja kwa moja (LIVE) kila Jumamosi kuanzia saa 6 mpaka 8 mchana (saa za Marekani mashariki) ambacho kinaleta Habari na Taarifa kuhusu yale yanayotokea na kuwagusa waAfrika walio NJE na NDANI ya Afrika.

Sunday 23 March 2014

Nawatakia JumaPili yenye Furaha Na Shukrani;Burudani Kutoka- African Mega Praise....!!!!!!

GOD can do Anything, Anytime, Anywhere in His time!!!!!!
Nawatakia JumaPili Yenye,Furaha,Shukrani,Matumaini,Amani na Baraka....

Nitamhimidi BWANA kila wakati,Sifa zake zi kinywani mwangu daima...

Neno La Leo;Zaburi:34:1-12

Ni nani mtu yule apendezwaye na uzima,Apendaye siku nyingi apate kuona mema?




"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Saturday 22 March 2014

[AUDIO]: DAKIKA 90: Kupotea kwa Air Malaysia na takwimu za usalama wa anga duniani‏

Ndege aina ya Boeing 777 ya Malaysia Airlines ikiruka kutoka Roissy-Charles de Gaulle Airport nchini Ufaransa mwaka 2011.
Photo Credits: PressTv
Wakati harakati za
kutafuta ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyopotea zikizidi kushika kasi
na kuvunja rekodi ya kushirikisha mataifa mengi duniani, baadhi ya takwimu
kuhusu hali ya usalama wa safari za anga duniani zimezidi kuibuka na kufungua
macho ya wengi waliokuwa wakiamini kuwa tukio hili ni la kwanza na / ama
miongoni mwa machache kupata kutokea duniani.


Mtandao wa Usalama wa safari za Anga ama Aviation Safety Network
ilitoa orodha ya ndege zilizopotea tangu kumalizika kwa vita kuu ya pili ya
dunia.



Kwa mujibu wa takwimu hizo, ndege 88 zimepotea
tangu mwaka 1948, hivyo kufanya wastani wa ndege zinazopotea na kutopatikana
wala miili ya abiria kuwa 1.33 kwa mwaka.


Hii ni sehemu ya ripoti ya Jamii Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90
ZA DUNIA kinachorushwa na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es
Salaam Tanzania kila Jumamosi kuanzia saa moja na nusu asubuhi (7:30
AM).