Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 7 August 2012

Ubatizo wa da'Charmaine Mungai;Ulifanyika St .Patrick Church Coventry!!!!!!!!

                    da'Farajika [mama mtoto] na da'Charmaine.
             wazazi wa mtoto na wazazi wa kiroho,Mtoto abatizwa!!!!
       Wazazi  na Charmaine Akishangaa duh jamani sinita unguaaa. 
Baba, Mama na Mwana
Wapendwa walioungana na Familia kwenye ibada ya Ubatizo
Zawadi ya Rosary kutoka kwa ma'Mkubwa Stellah
                             Ma'mkubwa Stellah na Charmaine
Da'Tecla[mama wa Ubatizo] da'Farajika[mama mazazi] na Binti yao.MUNGU Awabariki saaaana.
mama na baba wa Ubatizo na Familia ya Mungai
Familia
Kaka Richad na kaka Isaac, watoto kwa mbalii nao walikuwepo
da'Joyce,da'Farajika,da'Stellah ,da'Tecla na mtoto wao!!

Shangazi, da'Tracey,da'Farajika.


Mamazzzz Pamoja sana.
mama totoo na baba totoo na shangazi walikuwepo!!
                                dada Rose na da'Farajika Mbarikiwe sana!!!!
            dada Rose mwenyeweeee, yeye alikuwa anashughulika na misosi[Chakula] Mmmm tulishiba mamaaa,Asante sana.




  Mmmm hizi zinatosha, Jamani mweehh Shughuli za Waswahili kama una Diet usisogee!!!Mmmm Tamu saaana.

Waungwana J'Pili ya tarehe 05/08/12.Familia ya Mungai na da'FarajikaWalimbatiza mtoto wao Charmaine Mungai.

Ubatizo ulifanyika St.Patrick Catholic Church.Coventry U.K.
Baada ya hapo waliungana na Wageni wao Nyumbani kwao kwa Chakula cha Mchana.

Wazazi hao wa Charmaine Wanawashukuru sana Baba na Mama wa Ubatizo. Ndugu, Jamaa, Marafiki woote kwa kuungana nao kwenye siku hii muhimu ya mtoto wao.
Hawana cha kuwalipa bali Wanawaombea kila lililo jema.

Nasi; "Swahili NA Waswahli" Tunamtakia maisha mema na baraka mtoto Charmaine na Wazazi pia.
                                          "Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Monday 6 August 2012

Jikoni leo;Somali Rice Cake (Mkate wa Maashara)na Cilantro Rice!!!!!

Waungwana "JIKONI LEO"Ngoja niwapeleke kwa jarani zetu Wasoli.
Vyakula vyao si vigeni saaana naona tunatofautiana majina na uandaaji labda.Waswahili wanasema MCHELE MMOJA..........."

Kujua Zaidi ingia.SomaliFoodBlog
Shukrani saana.
Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Sunday 5 August 2012

Nawatakia J'Pili yenye Furaha;Burudani- PARAPANDA VOICE CHOIR!!!!!!!

Taa ya Mwili ni Jicho;basi jicho lako likiwa safi,Mwili wako wote utakuwa na Nuru.
Lakini jicho lako likiwa bovu,Mwili wako wote utakuwa na giza.Basi ile Nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza;Si giza hilo!!!!!


Neno la Leo;Mathayo Mtakatifu:6:22-23.
MUNGU NA AZIDI  KUTUBARI SOOOTE!!!

Saturday 4 August 2012

Chaguo la Mswahili Leo;Extra musica,Bisso Na Bisoo,Loi na Koffi,Gaou!!!!!!

Waungwana "Chaguo la Mswahili Leo" Twende sote sasa Bisso Na Bisso,Gaou na nyingine....
.
Kunakitu unakumbuka? Pamoja sana....

 Tiririririii Extra Musicaaaa, hyeeeeeeee!!!
Shamukwale  yako pesa mbongooooo.....Chivunduuuu!!!hahahaha
"Swahili NA Waswahili" Ah ah ah ah ah ah ahhhhhh  eeeeeeeeeeh!!


Thursday 2 August 2012

OFFICIAL VIDEO-LEKA DUTIGITE VIDEO-KIGOMA ALL STARS!!!!!!

Kigomaaa Leka Dutigiteee!!!


Haya Waungwana mambo ya Kigoma hayo.Jee nawengine mnakuja kama hivyo?
Dar,Iringa,Tanga,Mwanza,Mbeya na.....................


Waungwana mna  Maoni,Ushauri,Mawazo Gani katika hili?


 LEKA DUTIGITEEE!!!!!!


"SWAHILI na WASWAHILI" Pamoja Daima.


Ngoma Africa Band to perform at International African Festival,Tubingen,Germany!!!!!!!!

Ngoma Africa Band to perform at International African Festival,Tubingen
Ngoma Africa Band, a German based Tanzanian band will headline the International African Festival Tubingen 2012, Germany, on 12th August 2012.

The band leader, Ebrahim  Makunja aka Ras Makunja will receive the International Diaspora Award (IDA) on behalf of the band for their commitment to promote East African music throughout Europe.

Ebrahim Makunja aka Ras Makunja, leader of Ngoma Africa Band
Ms. Susan Muyang Tatah, CEO of the International African Festival Tubingen 2012 said Ngoma Africa Band was chosen for the award because of their creative performance on stage. It's difficult to resist dancing at their concerts, she said.

Ngoma Africa Band will also perform on 26th August 2012 at the Alafia Festival Hamburg; on 12th September 2012 at Bremahaven City; and on 15th September 2012 at Africa Trade Fair Expo (Afrika-Messe), Bremen City.

The band has just released a new CD titled "Bongo Tambarare" featuring hits including "Supu ya Mawe" and "Uhuru wa Habari". The new release is already dominating air waves in Tanzania.


For further information about Ngoma Africa Band and to listen to their music, please visitwww.ngoma-africa.com.

Sorce:Africa News EU
http://theafricanews.com/entertainment/44-entertainment/4427-ngoma-africa-band-to-perform-at-international-african-festival-tubingen.html 

Wednesday 1 August 2012

Siku Kama ya Leo da'Rachel-siwa Alizaliwa!!!!!MUNGU yu Mwema Kwanguuuuuuu

Siku kama ya Leo Familia ya M.S.Kiwinga walipata Mtoto wa kike!!!!
Mimi Rachel-siwa NaMshuru sana Mungu kwa Mema Yooote Maishani Mwangu.
Kwangu hakuna baya na nilipo hisi baya Nafuta na Kusema ni MAPITO[MITIHANI]TUU.WEWE UNATOSHA BABA!!!.

 Mtoto  kwa Wazazi atabaki kuwa mtoto hata kama ana Watoto.
Ninawashukuru sana Wazazi wangu kwa yooote mliyojaaliwa kunipatia kulingana na Uwezo wenu,
Nawapenda,Nitaendelea Kuwapenda mpaka mwisho wa Maisha Yangu.
BABA najua hayupo nami kimwili lakini Kiroho nipo nawe na nitaendelea kukumbuka Daima.

Nikushukuru UBAVU wangu ISAAC,Asante sana kwa yooote,MUNGU Azidi kutusimamia katika Maisha yetu.Mimi Penda sana wewe Mubena yangu!!!!!

Niwashuru sana Kaka,Dada,Watoto  Zangu woote Nawapenda.

Pia Niwashukuru Ndugu,Jamaa,Marafiki,Majirani na Wooote wanaonifahamu kwa njia moja au nyingine.

Kamwe Sijutii kufahamiana nanyi, Basi Nirudishe Shukrani kwa MUNGU najua ni mpango wake kuniunganisha nawe.

Nanilipo kosea/kukukosea Naomba Nisamehe,Kwani Nami ni Bin'Adam Sijakamilika.

Nawapenda woote wakubwa kwa watoto,Wake kwa Waume.

MUNGU TUBARIKI SOOOOTE.
AMEEN.