Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Waswahili/Maendeleo. Show all posts
Showing posts with label Waswahili/Maendeleo. Show all posts

Friday 27 June 2014

JESCA KIPLAGAT ELECTRIFYS THE HALL WINNING FACE OF KENYA UK 2014


Jesca won because of her unique story. She was educated by charity, Educated in University using HELB loans and is now in UK on a sponsorship program. In her own words, she says she has received so much its time to give back. Jesca raised £560 for her charity of choice Kapchaselewes childrens home in Marakwet district.

Other contestants had a beautiful English ascent but Jesca proudly pulled a Kalenjin English accent and just really portrayed the pride of Kenya. During the talents, most contestants choose to sing and dance but Jesca chose to have a motivational speech as her talent, this was unique, moving and melting the hall away, she won the audiences hearts
"I must say this was a worthy course to have participated in. I had a wonderful experience, enjoyed myself and as well it has given me a platform to give back to my community. I have attended photo shoots, fundraisers, networking dinner among other initiatives that I have thoroughly enjoyed. I am honoured and humbled by this wonderful experience, It has inculcated in me a sense of nationalism-proud Kenyan and yes giving back to the community which is the ultimate thing that have really made it a worthy course and I promise to lead other youths in the national building exercise as The Face of Kenya UK 2014 BRAND AMBASSODOR".


FUNDS: £ 560 KAPSCHELEWES CHILDREN HOME MARAKWET.




Kwa picha zaidi;http://www.ukentv.com/faceofkenyauk.html
 Video; Africanacts


congratulations sister Janet, great job!

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Sana.

Monday 5 November 2012

VODACOM WAKISHIRIKIANA NA BUSINESS PARTNER WAKE FTS SERVICES LTD WAWAPELEKA WATEJA WAO KISIWA CHA MBUDYA KILICHO BAHARI YA HINDI.!!!!!


Hapa ndio Kisiwa cha Mbudya ambapo Vodacom imewapeleka wateja wake kwa ajili ya mapumziko ya week end jumamosi ya jana.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom
Kushoto ni Steve Goyayi kutoka Stanbic Bank, wa tatu kutoka kushoto Asubisye Mwakatobe kutoka Vodacom na wengine ni baadhi ya wageni washiriki kutoka world Bank
Katikati ni Abdallah Singano kutoka Stanbic na kulia ni CEO wa MSD
Kutoka kushoto Steve Goyayi, Henry Kapinga na Abdallah Singano
Baadhi ya wafanyakazi kutoka Vodacom 
Kushoto ni Idd Mbita Mkurugenzi wa FTS Services akiwa na Joseph Kusaga CEO wa Clouds FM na TV mwenye Tshirt ya kijani.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom wakishuka kwenye boti maalum iliyokodiwa kwa ajili yao.
Kulia ni Henry Kapinga meneja mauzo wa FTS Services ltd akipiga picha ya kumbukumbu na CEO wa Clouds Joseph Kusaga
Wadau kutoka Vodacom wakipata vinywaji ndani ya kisiwa cha Mbudya
Rosalynn kutoka vodacom akiwashukuru wateja kwa kushiriki
Idd Mbita kutoka FTS Services akiwashukuru wateja kwa kushiriki na kuwaomba tudumishe ushirikiano wetu.
Vodacom Tanzania wakishirikiana na Business Partner wake FTS Services jana waliwapeleka wateja wao katika Kisiwa cha Mbudya kilicho katika bahari ya Hindi.

Friday 2 November 2012

TRA MBEYA KUELEKEA SIKU YA MLIPA KODI WASAFISHA STAND KUU YA MABASI!!!!!!








Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania wakiongozwa na Meneja wa TRA Mkoa wa Mbeya, Anold Maimu wamefanya usafi maeneo ya Standi kuu ya mabasi mjini Mbeya  kuelekea kwenye kilele cha siku ya mlipa kodi.
Mtazamo wa Mamlaka hiyo ukiwa ni kuwa karibu na walipa kodi kwa kwa kutoa hudumia kwenye jamii na kuamsha moyo wa kujitolea katika huduma za kijamii na kukumbusha umuhimu wa uhiyari wa kulipa kodi bila shuruti!!!!

Habari na Picha kwa hisani ya Image Profession.

Monday 8 October 2012

PERFECT LADY SALON YADHAMINI SHINDANO LA BONGO STAR SEARCH 2012!!!!!!



 Mkurugenzi wa Perfect Classic Salon (kati mwenye nguo nyeusi) Bi. Ester Kiama akitoa maelekezo kwa mmoja ya wafanyakazi wa Salon yake jinsi ya kumtengeneza mshiriki wa Epiq Bongo Star Search (EBSS 2012). Perfect Classic Salon imedhamini shindano hilo kwa kuwapendezesha washiriki na kuwapa muonekano mpya wanapokuwa wakiimba stejini.
 Wafanyakazi wa Perfect Classic Salon wakiwasuka na kuwapamba washiriki wa Epiq Bongo Star Search 2012 katika jumba lao lililopo jijini Dar.
 Mwanadada Kulwa ambaye ni mtaalamu wa kusuka kutoka Perfect Classic Salon akiwajibika.
 Gabriel ambaye ni mtalaamu wa make up, kucha, kusuka na kuwasokota wale wenye rasta original.
Nae mwanadada Sabrina ambaye ni mtaalamu wa kushona nywele za akina mama (Weaving) akiwajibika.
---
Na Mwandishi Wetu.
 Perfect Lady Salon yadhamini shindano la Epiq Bongo Star Search 2012 kwa kuwapamba na kuwapa muonekano mpya washiriki wote walio katika kinyanga'anyiro hicho.

Akizungumza mara baada ya uzinduzi wa kuwatambulisha wadhamini uliofanyika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, mkurugenzi wa Perfect Lady Salon Bi. Ester Kiama alisema kuwa ikiwa yeye ni mtanzania anayependa maendeleo ya vijana ameona ni vyema kujitoa kudhamini shindano hilo kwa kuwapa washiriki muonekano mpya.

"Nafurahi sana kuungana na Bi. Ritta Poulsen kudhamini shindano hili linalovumbua vipaji vya vijana ambapo mimi, nimechukua upande wa kuwapamba washiriki na kuwapa muonekano mpya wawapo stejini," alisema Ester Kiama.

Hata hivyo aliongeza kuwa wakati umefika kwa Watanzania kuungana mkono pale unapoona mtu anafanya jambo linaloleta maendeleo katika nchi yetu.


Pia Bi. Ester Kiama alisema, Perfect Lady Salon imefungua milango kwa mtu yeyote ambaye anahitaji kufanya kazi na nao, asisite kuwasiliana nao wanapatikana Kinondoni mkabala na Chuo Kikuu Huria.

Shindano la EBBS linaendelea ndani ya Stesheni ya ITV na sasa wapo katika hatua ya mtoano

Friday 17 August 2012

SAUTI Ya ILALA na Mikakati Yake; Pata Video!!!!!



Waungwana ni "SAUTI YA ILALA"sina mengi ya Kuelezea Wenyewe wamemaliza yooote.Tunasubiri Utendaji Tuu.Kila la kheri Hon;Jerry Silaa na Kamati Yako.
Unalo la Kuongezea Muungwana? haya Tunasubiri Maoni/Ushauri.

kwa Mawasiliano Zaidi: DAVIS MWIJAGE
 PHONE: +255712847881
 EMAIL: davis@361tanzania.com
ILALA MUNICIPAL RE INAUGURATES “ SAUTI YA ILALA MAGAZINE” 
Shukrani;Mustafa Hassanali