Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Elimu. Show all posts
Showing posts with label Elimu. Show all posts

Wednesday 2 January 2013

Kitabu Kimojawapo cha Prof.Mbele-Africans and Americans: Embracing Cultural Differences








The book is available at http://www.lulu.com/shop/joseph-mbele/africans-and-americans-embracing-cultur... and other internet sites.
 

Here is a review on Amazon http://www.amazon.com/Africans-And-Americans-Embracing-Differences/dp/1411623...


"Mbele takes on the arduous task of comparing American and African cultural differences, focusing mostly on Tanzanian culture and customs - and he does this in less than 100 pages. Anyone interested in this topic will find mostly anecdotal comments and observations from someone who has spent time on both continents. In the end Mbele notes that people are different and that we should embrace and accommodate our differences as much as possible. This is a good book with good information to consider if you are traveling to Africa anytime soon or hosting an exchange student from Africa.


Kujua Mengi kuhusu Prof.Mbele ingia;Joseph Mbele na http://hapakwetu.blogspot.co.uk/


"Swahili NA Waswahili" Pamoja Sana

Tuesday 18 October 2011

SAKATA LA MGOMO WA WANACHUO WA IMTU UNIVERSITY HATMA YAKE LINI?




Geti kuu la kuingia Chuo kikuu cha Afya IMTU kilichopo Mbezi Beach.

Wanachuo hao hapa wakiwa katika moja ya maandamano ya mgomo huo.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr Shukuru Kawambwa

Sakata hili lilitolewa miezi michache iliyopita na vyombo mbali mbali vya habari kuhusu mgomo huu wa wanachuo hawa.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona nchi ambayo ina upungufu mkubwa wa Madaktari, kushindwa kuumaliza mgomo wa Madaktari Wanafunzi ambao sasa umekamilisha miezi miwili, kundi hili la wanachuo limekuwa likikusanyika nje ya Makao Makuu ya Wizara ya Elimu kwa vipindi tofauti bila hitimisho la mgomo huu.

Kwa kutambua umuhimu wa wataalam hawa tunaziomba mamlaka zilizopewa dhamana ya kusimamia na kuongoza  ziumalize mzozo huu ambao madai yao ya msingi ni kulipa Ada kwa Tshs na si US Dollar na pia kulipa ada kubwa tofauti na vyuo vingine vya binafsi (private).

Sisi kama wanafunzi ambao tunaathirika na mgomo huu Bado tuna imani na Serikali ya Mh.Jakaya kikwete na watendaji wake wote, Katibu Mkuu Wizara ya elimu,Tanzania Commision of Universties na Higher Education Student Loan Board tunawaomba waumalize mzozo huu.
Pesa nyingi zimetumika za walipa kodi kupitia loan board kuwakopesha wanafunzi hawa Tunahitaji sasa wote kwa pamoja kulishughulikia hili tatizo ili tuweze kuendelea na Masomo na mwisho tuende kujenga taifa letu changa lenye upungufu mkubwa wa Madaktari.


Habari hii nimetumiwa na Kapingaz Blog.
Asante.