tag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post8525859273198507805..comments2023-12-30T03:05:54.487+00:00Comments on Swahili na Waswahili.com: Tupo pamoja Wapendwa/Waungwana!!!Rachel Siwahttp://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post-67025948856635711592014-01-24T20:05:30.166+00:002014-01-24T20:05:30.166+00:00Ameeeen!!
Asante sana mwana wa Mbogo bisikuti ,Uli...Ameeeen!!<br />Asante sana mwana wa Mbogo bisikuti ,Ulipotea mnoo,Nanyipia kheri ya mwaka mpya..<br />Ndiyo kaka Sam ILALA Ndiyo home,Ilala Sharifu/Shamba,Nimekulia huko.Wazazi walihamia miaka hiyo mpaka sasa bado kuna familia pale nyumbani,Lakini mama Rachel alihama.<br />Hivyo mitaa ya Amana,Magorofani,Bungoni na Vitongoji vyote si mgeni.<br /><br />Nafikiri nimekujibu bisikuti...<br />Jee kuna mtu unanifananisha naye? Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post-28662060089384461022014-01-22T11:36:30.239+00:002014-01-22T11:36:30.239+00:00Kwanza kheri ya mwaka mupya/mpya! Nilikuwa njiuliz...Kwanza kheri ya mwaka mupya/mpya! Nilikuwa njiulizaga/najiuliza! kulikoni bisikuti yangu,laaazizi nyonga mkalia ini, mama Rachel kapotea. nikweli maisha ni mikikimikiki. ila mungu ndo muweza wa yoote na ndiye rubani wa maisha yetu. haya karibu sana,je mwaka 72- 80 uliwahi kuishi Ilala amana magorofani? kaka s.sam mbogonoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post-53475904847786279862014-01-20T20:50:23.035+00:002014-01-20T20:50:23.035+00:00Asante sana sana. .nami nilikumiss mnooo.Kadala wa...Asante sana sana. .nami nilikumiss mnooo.Kadala wa mimi.Pamoja sanaRachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post-40044913934900292642014-01-20T11:43:08.874+00:002014-01-20T11:43:08.874+00:00Kachiki wewe.....yaani hapa nilikuwa mbioni kuoeke...Kachiki wewe.....yaani hapa nilikuwa mbioni kuoekeka tangozo polisi...namshukuru mungu mpo salama karibu saba tena kuwa nasi. Nimekumiss Kachiki wa mimi.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.com