Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Friday 23 March 2018

Jikoni Leo;Pweza.. eti Pweza ni dawa?

Hamjambo wapendwa/waungwana?
ni "Jiko leo" tunakula Pweza....
Unawajuwa Pweza?
unawapenda jee unawapikaje?unakula na nini?
Mimi nawapenda sana tena kule nyumbani huwa nakula
wale wa mtaani...
sijawahi kula kwa mapishi mengine zaidi ya kukaanga..
Nasiki Pweza ni dawa eti kwa Wanaume jee ni kweli?
Karibu uonje kama hujawahi kula na kama wawajua endelea
kupata utamu...!!



"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

No comments: