Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 11 November 2015

[AUDIO]: Kipindi cha Jukwaa Langu Nov 9 2015 (Full show)


Katika kipindi cha JUKWAA LANGU tulipata fursa kumhoji
aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Mbarali kupitia CHADEMA Liberatus
Mwang'ombe.
Pia, tuliangalia (mbali na mambo mengine), mwanzo wa awamu ya tano ya utawala wa Tanzania, na matarajio ya wengine.
Tunaizungumzia TANZANIA ya sasa na ile ijayo....hasa tutakayo.

Tuambie.......
1: Je! Ni lipi unalokumbuka zaidi kuhusu uongozi wa Rais Jakaya Kikwete?
2: Unazungumziaje namna Rais Magufuli alivyoanza wiki ya kwanza ofisini?
Na nini ungependa viwe vipaumbele kwa uongozi huu??
3: Una matumaini na matarajio gani na bunge la 11 litakalosimikwa rasmi hivi karibuni?

No comments: