Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 13 October 2015

Mahojiano na DC Paul Makonda Katika JUKWAA LANGU Oct 12 2015


Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015.

Katika
sehemu hii ya kipindi cha wiki hii, utasikia mahojiano yetu na Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni, Mhe Paul Makonda juu ya Matembezi ya Amani
yaliyoandaliwa na Ofisi yake na kufanyika wilayani humo

Pia wasikilizaji walipata fursa kumuuliza maswali na hata kutoa maoni yao juu ya kinachoendelea huko

KARIBU

No comments: