Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 23 September 2015

Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Hii
ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo
mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo
Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.

Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela

Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Blogger Mr Verbs wa www.habarika24.blogspot.com, pia kulikuwa na Dr Patrick Nhigula, Hajji Khamis na Emil Mutta na Kennedy

No comments: