Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Friday 12 December 2014

Swahili/Kiswahili Na Waswahili;ULIMI, MATAMSHI, NA KUKAA UGENINI

Watangazaji wa DW wakijadili na kujadiliana masuala kadhaa ya kilugha likiwemo lugha asilia ya mtu huathirika vipi akikaa ugenini kwa muda mrefu, yaani kwenye mazingira ambako lugha yake ya kuzawa nayo haitumiki? Jee, matamshi yake yatapotoshwa mpaka aonekane msemaji mgeni kila azungumzapo kwa lugha yake asilia? Na vipi msamiati wake, utapigwa na wakati au la?







Shukrani;John Mtembezi Inniss

No comments: