Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 26 October 2013

chaguo La Mswahili Leo;Mrisho Mpoto!!!!

Waungwana ni wakati mwingine tena wa "Chaguo La Mswahili"Leo chaguo limeangukia kwa kaka Mrisho Mpoto[HOME BOY]Mpoto kama ukimsikiliza juu juu..huwezi kumuelewa kabisa na ukashangaa huyu naye anaimba nini?Lakini ukitulia na kumsikiliza maneno anayotumia utakubaliana nami..Maneno yake ni Vichocheo,Mafunzo,Maisha Na Jamii inayotuzunguka...
Mhhh..mimi Mpoto ananikosha/nibamba/Kupenda kazi zake,,,Vipi wewe mwenzangu?


Iyeeehhh Mjomba Iyeehh...!!..Bora kujenga darajaaaa...!!
Mjomba hapa Nyumbani Tuna hadithi  na misemo mingi kujihakiki,Maana lake mtu halimtapishi Lakini kukumbatia maji kama jiwe ni ujingaaa...
Twende Sote sasa....








"Swahili Na Waswahili" Pamoja Sana

No comments: