Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 18 August 2013

J'Pili ya Leo;Tuendelee Kuwaombea Wenye Shida Na Tabu,Burudani-Upendo Nkone na Abiudi Misholi.!!!!!

Wapendwa;J'Pili hii tuendelee kuwaweka mikononi mwa BWANA wenye Shida na Tabu.
Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali,Kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua.
Neno La Leo;Matendo ya Mitume:16:16-34;






Muendelee kuwa wakati mwema Kila iitwapo Leo.

"Swahili na Waswahili" MUNGU ni mwema.

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Nawe pia kachiki na familia yako sisi hapa mvua tu...

Anonymous said...

Amen

Mija Shija Sayi said...

Madame umetoka!!

Nimependa ulivyosema tuwaombee wenye shida na taabu kwani imenifanya niwaze kidogo.. Nini tofauti ya shida na taabu?

Siku njema Madame.

Rachel Siwa said...

Ameen! Ameeen! Ameeeeeen!!Asanteni wote..
Duhh dadake'mija;Kuna wenye Shauku,Wasiwasi,Fadhaa,Kuchanganyikiwa, na mahitaji ya kawaida.

Kuna Wenye;Wakati Mgumu saaana, Kufiwa, Kukata Tamaa,Dhiki,Kuumwa na Mahitaji ya Lazima/Haraka.

Nionavyo mimi..Ruksa kutofautiana nami/Kunikosoa/kuelimisha na Kujuzana zaidi.

MUNGU awabariki sana.