Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 19 May 2013

Wapendwa tumalizie J'Pili kwa Imani na Upendo;Burudani-Bahati Bukuku,Rose Muhanndo na Kinondoni....!!










Wapendwa; Tumalize J'Pili hii kwa Imani,Ushindi na Upendo wa Kweli...
Lakini sasa,BWANA aliyekuhukumu,Ee Yakobo,yeye aliyekuumba,Ee Israel,asema hivi,Usiogope,Maana nimekukomboa;nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.
Neno La Leo;Isaya:43:1-19;Tazama nitatenda neno jipya;sasa litachipuka; je! Hamtalijua sasa?Nitafanya njia hata jangwani, na mito ya maji nyikani.

"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe wote.


5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa neno nawe ubarikiwe pia.

emuthree said...

Ndugu wa mimi nimekumiso!

emuthree said...

Ndugu wa mimi nimekumiso!

Rachel Siwa said...

Ndugu wa mimi nami pia nimekumisooo mnoo..mtu wangu..Asante sana tupo pamoja kabisa...

Rachel Siwa said...

Ameeen KADALA wa KACHIKI..