Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 5 December 2012

Nderemo Na Vifijo kwa;Kaka Frank Mungo'ngo' Na da'Levina Kimwaga!!!!![1]

           Da'Levina na Mpambe wake  wakielekea Kanisani.
         kaka Frank na Mpambe wake wakisubiri
  Mmmhhh mmependeza sana
      Wametulia ndani ya Nyumba ya Ibada
   Yaanii wee acha tuu!!!!
        Tuependezaaa Hahahaahaa 
             Viapo..
             Mmmmhhh Mke Mkeo kaka Frank......
   Naona Mchungaji Hiza yupo makini....
                Pingu/Pete...........
         Hahahahah Busu la kwanzaaaaaaa..
   Hahahahahhhhh   Mr&Mrs Mungo'ngo......MUNGU asimamie Ndoa yenu!!!!!!!
     MmePendeza sana Wapendwa... 
Mchungaji Hiza,Wapembe na Ma-Arusi MUNGU  awe nanyi...
     Furahaaaaa
  Mmmhhhh Mmependezaaaaaaaaaaaa...
   Uwiiiiii Tumemalizaaaaa sasa...

      Haya Mr&Mrs Mungo'ngo'
    Nzuriiiiiiii kupita Maelezooooooo...
                 Da'Levina na Wapambe....
      Umenoga dadake!!!!
Pendeza mnoo babake!!!
                   Mapoziii kwa Raha zako.....
          Sasa lazima ujidai babake!!!!!!!
         Safari ya kuelekea Kwenye Ukumbi sasa.....
         Ukumbini.......
    Hapo vipi...Hapo sawa sawiaaaa...Mr&Mrs Mung'ngo'.

Waungwana;Wapendwa wetu kaka Frank na da'Levina, Wameungana kuwa kitu kimoja/Kufunga Ndoa.
Alichokiunganisha MUNGU  Binadamu hawezi kukitenganisha. Sasa ni Bwana na Bibi Mungo'ngo'.


Mimi na Familia Yangu,Tunawatakia kila lililo jema,Baraka,Amani,Upendo,Huruma,Samahani,Asante,Uvumilivu, Muwe Pamoja kwa kila Shida na Raha.Mkazae Matunda Mema.

Picha Zitaendelea Usicheze mbali...

"Swahili NA Waswahili" Pamoja saaaana.