Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 4 September 2012

Waswahili na Maisha Yao;Leo Tupo IRINGA-Village Schools International-Shamba Darasa!!!!!!!!!



"Waungwana, Waswahili na Maaisha Yao". Leo tupo IRINGA.

Watu wa vijijini wengi wao bado ni wanyeyekevu  kwa Wageni,Shukrani na Kujitoa.
Hapo wakiimba kwa Sauti Taaamu. Pamoja na Mgeni wao,Wakimshuruku MTALAAMU.

Wewe unafikiri kwanini watu wa Vijijini  wengi wao bado wanaukarimu,Shukrani na Unyeyekevu?
 Hawajafunguka,Hawaendi na Wakati,Hawajaumizwa au Mazingira yanachangia?
Jee Vipi watu wa Mjini?Yaani ukiachana na mtu mwaka mmoja  tuu baadhi yao  inabidi Utulize Akili na kuchunguzana upya, kwani Wengi Tabia imebadilika.
Jee  Washalizwa sana/kutapeliwa,Ugumu wa Maisha, Waelevu au Wajanja  Au.......?

 Karibuni sana kwa Maoni/Mawazo,Ushauri na Tuelimishane kwa Amani na Upendo.
[KILIMO KWANZA AU...?]

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

No comments: