Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 6 September 2012

Wanawake na Mitindo;Ya Kale ni Dhahabu!!!!!!


Waungwana; Wanawake na mitindo,"Ya Kale ni Dhahabu" Umemuona Mrembo wa zamani?nini Unakumbuka kupitia picha hizi na nini kimekuvutia?
Huo unywele wa kwenye picha ya juu sijui aliweka dawa gani,Zazuu,Alizichoma au........
 Huo Unywele wa kwenye Picha ya chini  hakuna Dawa hapo.

Unalolote unaweza kuongezea katika Picha hizi? Karibu sana.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

nikiangalia kwa makini naona kama wote walijichoma hizo nywele..halafu naona kama walitumia/weka wanja vile..ila kweli warembo wa zamani ni dhahabu...bila madawa madawa..

jfk said...

Madawa yalikuwepo na kulikuweko na majaribio ya kuyapiga marufuku kama ilivyo sasa. Kulikuweko na cream maarufu iliyojulikana kama AMBI. iliyokuweko ya wanaume na wanawake. Ilifikia ikapigwa marufuku na CLEARTONE ikatawala soko.

emuthree said...

Uzuri ni ule wa kuzaliwa , na urembo ni ule wa kuboresha. Tupo pamoja ndugu wa mimi

Rachel Siwa said...

Kadala wewe uliwahi kuchoma Nywele?umeona na hiyo nguo ya picha ya2 sindizo tuvaazo sasa?

Ndugu wamimi Umenena!1

kaka Kitime[jfk]Asante sana kwa kutuelimisha, lakini walishindwa kabisa kuzuia cream, sasa ndiyo zimeharibu watu Ajabu.