Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 23 August 2012

DR JANETH MANDEPO AMEREMETA NDANI YA MWIKA HALL - SINZA USIKU WA JANA.!!!!!


Dr. Janeth Mandepo akiwa amesimama kwa furaha ndani ya Ukumbi wa mwika katika sherehe yake ya Sendoff usiku wa kuamkia leo.
Dr. Janeth (kulia) akiwa na mpambe wake
Baba na Mama Mandepo wakiwa na nyuso za furaha katika sherehe ya kumuaga binti yao Dr. Janeth iliyofanyika katika ukumbi wa Mwika - Sinza.
Wakwe watarajiwa wa Dr Janeth wakifuatilia kwa umakini sherehe ya kupongezwa kwa mkwe wao.

Dr. Janeth akipiga picha ya kumbukumbu na Madaktari na wafanyakazi wenzake kutoka Hospitali ya Mwananyamala.
Dr. Janeth akipiga picha ya kumbu kumbu na wanakamati waliomfanyia sherehe yake ya kumuaga (Sendoff) wakiongozwa na kaka yake Mh. Mtarajiwa George Mandepo wa pili kulia.
Makaka wa Dr Janeth wakiwa na nyuso za furaha huku wakiwa na Mzee Maarufu wa nyimbo za zamani aliyewahi kuibuliwa na channel ya ITV miaka kadhaa iliyopita katika kipindi cha HAWAVUMI LAKINI WAMO (Mzee Chengula) aliyevaa Suti ya Bluu na Kofia.


Dr Janeth akitoka ukumbini kwa furaha baada ya sherehe yake kuisha.

Dr. Janeth Mandepo aliagwa usiku wa jana wa tarehe 22/08/2012 katika Ukumbi wa Mwika Sinza.

No comments: