Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 6 June 2012

Jikoni Leo; ni da'Maidana wa Tmark!!!!!!!!!

Mwenyewe da'Maidana,mamake na Taqqiyyah
Samaki na Mazagazaga na ameungwa/tiwa Nazi
Kitu Samaki kimepakuliwa
Samaki wa Kubanikwa
Visheti,Kashata,Keki, hivyo vyenye kidoti mie naviitaga vibata, sijui vyaitwaje?Hapa bado Ufuta jamani duuhh
Mikate,sijui wewe utaitaje kwani hapa kwangu kila mtu anajina lake!
                                           Ipo kwa umbo tofauti

Waungwana karibuni tena  "JIKONI LEO".Leo Mpishi wetu si Mwingine ni da'Maidana,Ni blogger Mwenza,Pia ni MjasiriaMali,Ukitaka kujua zaidi. Anapatikana.http://tmark-turn.blogspot.co.uk

Nimegundua Waswahili Wengi Wanapenda kupika na kujifunza Mapishi Mbalimbali.
Vipi wewe mwenzangu unapenda kupika?jee mbali na kupika Unapenda/Unaweza Kufanya  nini kwa Mikono yako?



Karibuni sana Waungwana katika yoote!!!!!!
"Swahili na Waswahili" pamoja sana!!!!

4 comments:

Tmark said...

shukran sana,nimefurahi

Anonymous said...

weka na recept ya mapish dear

Yasinta Ngonyani said...

ahsante sana kwa kutuonyesha hapa mimi napenda kiduchu tu kupika nasa napenda kuwa /kushughulika na udongo yaani bustani, maua nk.

Mija Shija Sayi said...

Ajabu nimetoka kula, ghafla naona njaa tena.., huu msosi si mchezo.

Hongera zake sana.