Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 14 February 2012

Siku kama ya Leo dada Nadia Nyembo Alizaliwa!!!!

Siku kama ya leo familia ya Bibi na Bwana Nyembo Fundikira, walipata mtoto wa kike na wakamwita NADIA!!.Leo dada Nadia ametimiza miaka 2.''Chimami'' tunakutakia kila lililojema maishani mwako,Mungu awe nawe daima,Uwe baraka kwa Wazazi,Ndugu,Jamaa ,Marafiki na Watu wooote.


Familia ya Fundikira,Jumaa,Tuwa na Kiwinga,Tunaungana pamoja katika kukutakia kheri na kumuomba Mungu asimamie makuzi yako.


Hongera sana'' VALENTINE''NADIA.

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Hongera sana kwa siku yako ya kuzaliwa na naamini unapendwa na wote kwa vile ni siku uliyozaliwa:-)

rabia nyembo said...

asante mamamkubwa siwa kwa kuweza kunikuza mpaka kufikia leo hii na nakuombea kwa mungu nawe hakupe nguvu zaidi ili unikuze mpaka mwisho wangu wote mungu hakubariki kwa kila jambo mama yng

Mija Shija Sayi said...

Hongera mwanangu umekua jamani. Mungu azidi kukulinda. Jamani Rabia watoto wako wote ni wa Februari?

Mungu awabariki.