Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 7 February 2012

Jikoni Leo ni Chai ya Waswahili!pata na Burudani; Ray C-Mama Ntilie!!!!!!!


Waungwana leo tuangalie chai za Waswahili.Unapenda kufumgua kinywa/Chai na nini Asubuhi?
Kuna wanaopenda Viporo,Vitu vya kuchemsha,Vyakukaanga,Kuungwa,Uji,Supu na vingine Vingii.
Jee upo kwenye lipi? na jee hapo ulipo unavipata kwa Urahisi kama kununua vilivyopikwa au unapika mwenyewe?na jee Kifungua kinywa chako kina Faida kiafya?.
Karibuni sana Waungwana katika Yote!!!!

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

mweh! kutamanishana kila wakati..umenikumbusha VITUMBUA nilivukula kweli mwaka jana:-) mimi huwa napenda vya kuchemsha na pia uji wa ulezi au mtama nk.

Rachel Siwa said...

da'Yasinta hujui kuvipika kama mimi?pole sana.

Yasinta Ngonyani said...

Ha ha ha ha ww nawe bwana ...haya pole na wewe lakini sidhani ni kazi ni unga wa chele na sukari tu au?