Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Friday 30 December 2011

Ulale kwa Amani Bw,John Ngahyoma!!!!!!

Shirika la utangazaji la habari BBC, limepata pengo kwa kuondokewa na Bw. John Ngahyoma.
Aliefariki dunia leo asubuhi jiji Dar es salaam.


Enzi za uhai wake Bw.John Ngahyoma aliwahi kufanya kazi katika kituo cha habari cha Radio Tanzania Dar es salaam(RTD),ITV Radio One na baadaye TVT.
Mpaka mauti inamfika Bw.Ngahyoma alikuwa anaitumikia BBC.


Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tabata

Taarifa imetolewa na katibu mkuu jukwaa la wahariri BwNeville Meena.

1 comment:

Mija Shija Sayi said...

Pumzika kwa amani Mr Ngahyoma.