Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 26 May 2016

Jikoni Leo na Bi Sheikha Agili-Achari ya Mraba





Ingredients:
2 cups sugar
1 and a half cups water
Salt
Chili powder
Red food colour 
Dried uncooked achari (slithered mangoes that have been dried in the sun)
Method:
In a pot, add everything except the achari.
Cook the mixture until it gets sticky enough and the liquid has reduced abit then add the achari and mix well while still on the stove.
You can leave the achari abit saucy(rojo) or let the liquid dry abit so they be somewhat sticky(mraba). If the syrup is done right you can even let liquid completely dry and let the achari get coated with sugar while the syrup is drying (kavu).
Once the desired stage of the achari is reached remove from the stove and let them cool.
Enjoy!!


Zaidi ingia;Sheikha Agil


"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Sunday 22 May 2016

Natumaini Jumapili ilikuwa njema/inaendelea vyema;Burudani-Natembea kidogo kidogo nikinyatanyata......Happy Birthday da'Tracey-Sarah

Wapendwa natumai Jumapili ilikuwa/inaendelea vyema..
Mungu azidi kuwabariki katika yote..


Hapa kwetu Jumapili ni njema kabisaa
Leo tunaungana na binti yetu mpendwa kwa kumbukumbu yake ya siku ya kuzaliwa
Siku kama ya leo Mungu alitubariki na kutujaalia mtoto wa kike da'Trace-Sarah
Mungu anaendelea kumtunza vyema katika yote..
Mungu yu mwema sana tunamrudishia sifa na utukufu kwakwe
Tunamwachilia binti huyu mikononi mwake Baba wa Mbinguni katika yote
Aendelee kuwa Baraka kwetu kama wazazi,walezi, Ndugu,Jammaa,Marafiki na Jamii yote
Mungu yu Mwema mnoooo
Happy Birthday da'Tracey-Sarah.

 8Mungu asema: “Nitakufunza
na kukuonesha njia unayopaswa kufuata.
Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.

Neno La Leo;Zaburi:32:8-11

9Usiwe mpumbavu kama farasi au nyumbu,
ambao lazima wafungwe lijamu na hatamu,
la sivyo hawatakukaribia.”
10Watu waovu watapata mateso mengi,
bali wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu wazungukwa na fadhili zake.
11Furahini na kushangilia kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu;
pigeni vigelegele vya shangwe enyi wanyofu wa moyo.

Bible Society of Tanzania


"Swahili Na Waswahili"Muwe na wakati mwema.

Wednesday 18 May 2016

Chaguo La Mswahili Leo:Yemi Alade - Na Gode (Swahili Version Official Video)

Chaguo La Mswahili Leo...
dada Yemi Alade ..

Sema Asanteehh hata ukikosa eehh sema Asante kweli wewe ni Mungu..........
.


"Swahili Na Waswahili"Burudika.

Tuesday 17 May 2016

Kipindi cha Jukwaa Langu May 16 2016. Ziara ya Waziri mkuu UK. Uraia pacha


Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na waTanzania waliojumuika kumsikiliza jijini London


Kipindi cha JUKWAA LANGU hukujia kila Jumatatu kikiongozwa na Mubelwa Bandio toka Beltsville Maryland, USA, kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu Tanzania ya sasa na ile tuitakayo.

Ni Tanzania kutoka jicho la DIASPORA

Na katika kipindi cha juma hili, tulizungumza na Chris Lukosi, ambaye
alitupa muhtasari wa ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa huko nchini Uingereza.

Muhtasari huo ulizua na mjadala mkali juu ya ahadi za serikali kuhusu vibali maalum kwa waTanzania waishio nje ya nchi.

Karibu

Sunday 15 May 2016

Nawatakia Jumapili njema:Burudani/Mahubiri na Mwl.Christopher Mwakasege...


wapendwa nimatumaini yangu jumapili ni njema na inaendelea vyema
Nawatakia Amani kutoka Moyoni,Imani,Baraka na Mkono wa Mungu ukawaguse
wote wenye kukata tamaa,wagonjwa,misiba,woga,kuonewa,kukataliwa/kutengwa
wagonjwa na wenye shida/tabu..
Amini Mungu yupo na ukimuita ataitika,Mungu wetu si kiziwi,kipofu...Anaweza na alitenda anatenda anaendelea kutenda....














"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe Sana.

Thursday 12 May 2016

Jikoni Leo na Tupike Pamoja; Recipe of Lemon chicken

Wapendwa waungwa natumai muwazima..
hapa kwetu tupo tupo vyema kabisa na hali ya hewa ni nzuri...kijua kimetoka..
vipi huko uliko wewe?

Ni Jikoni Leo sambamba na Tupike Pamoja wametuletea toleo jipya...

nisikuchoshe na maneno meengi Karibuni..


.....twende pamoja...


zaidiingia;Tupike Pamoja



"Swahili na Waswahili"Pamoja Daima

Sunday 8 May 2016

Jumapili iendelee kuwa Njema;Burudani-Christopher Mwahangila-Mungu Ni Mungu Tu na Edson Mwasabwite - Ni Kwa Neema Na Rehema





Natuini Jumapili ilikuwa/inaendelea vyema..
Mungu azidi kuwabariki kwa kila jambo..
wanaopitia magumu..Mungu akawaguse..
Mungu yu mwema sana...
Nawapenda wote na muwe na wakati mwema...


Umuhimu wa methali
1  Hizi ni methali za Solomoni mfalme wa Israeli, mwana wa Daudi.2Methali hizi zawapatia watu hekima na nidhamu; zawafanya waelewe maneno ya busara, 3zawafanya kuwa na nidhamu, utaratibu, uadilifu, haki na kutenda kwa usawa. 4Huwapatia wajinga werevu na vijana maarifa na hadhari. 5Mwenye hekima azisikie na kuongeza elimu yake, naye mwenye busara apate mwongozo. 6Mtu aelewe methali na mifano, maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.
7  Kumcha Mwenyezi-Mungu ni msingi wa maarifa,
lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.
Bible Society of Tanzania





"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.