Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 17 January 2015

Jikoni Leo;Bi Manjula[Manjula's Kitchen]-Moong Dal Vadas ( Bhajia, Pakoras, Lentil Fritters),Vegetable Rice Cutlets - Indian Appetizer, Recipe by Manjula




Ingredients
1 cup split wash moong dal (available in Indian grocery stores)
1 cup potatoes boiled peeled and shredded
Approx. 2 tablespoon finely chopped cilantro (hara dhania)
1 green chili minced adjust to taste
1 tablespoon finely grated ginger
1 teaspoon cumin seeds (jeera)
1/8 teaspoon asafetida (hing)
1/8 teaspoon of baking soda
1 teaspoon salt adjust to taste
Oil to fry



Ingredients
2 cups cooked rice
1 small potato peeled and cut in small pieces
1 cup mixed vegetables cut into very small pieces (green beans, bell pepper and carrot)
2 teaspoon ginger chopped
1/2 teaspoon red chili powder, adjust to taste
1-1/2 teaspoons salt
1 teaspoon cumin seeds
1 tablespoon corn starch
Oil to fry

View full recipe at: http://www.manjulaskitchen.com

Manjula's Kitchen

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Wednesday 14 January 2015

Hongera sana kaka Isaac kwa siku kuu hii yako...Happy Birthday..!!!!!



Siku Kama ya Leo kaka Isaac Isaac alizaliwa..
Hongera sana kaka Isaac kwa siku kuu hii kwako..
Nasi tunaungana pamoja nawe katika siku hii...
Mungu azidi kukulinda,Kukutendea,kukuonyesha njia,kukuepusha na majaribu yote,
Akujaalie miaka mingi yenye Baraka,Amani,Upendo,Furaha,Ushindi, Afya njema na Ufanikishe Ndoto zako.
Usipungukiwe na kicheko,Shuhuda,Shukrani,
Mafanikio yako yawe chachu na msaada kwa wenye kuhitaji.
Uendelee kuwa baraka kwetu na jamii pia.
Mungu ni mwema sana na tunajivunia kuwa nawe siku zote.
Tunakupenda sana na Mungu awe nawe Daima.
Wako;Rachel siwa,Sandra-Neema,Tracey-Sarah.




"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Monday 12 January 2015

HUYU NA YULE........Mahojiano na Dr Talib Ali


Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dk Talib Ali

Yeye ni mwanzilishi wa Avatar Dental Care iliyopo Leesburg Virginia.

Ameeleza mengi kuhusu kazi zake na mikakati aliyonayo baadae
Pia, ametoa punguzo la 50% kwa waTanzania watakaoenda kutiiwa kwake, pamoja na mpango wa malipo ya awamu kuwzesha watu kumudu gharama hizo

Karibu
Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza Production

Kwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali wasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail.com
.

Friday 9 January 2015

Monday 5 January 2015

HUYU NA YULE.......Mahojiano na Dr Crispin Semakula

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dr Crispin Semakla.

Daktari wa mahgonjwa ya kisukari, shinikizo la damu na pia Mwalimu wa Afya katika Chuo Kikuu nchini Marekani

Pia ni mwanzilishi wa Access Medical and Dialysis Center iliyopo Dar Es Salaam

Ameeleza mengi kuhusu maradhi anayoshughulika nayo na pia kituo chake.


Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza Production

Kwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali wasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail.com

Sunday 4 January 2015

Heri Ya Mwaka Mpya Na Muwe na Jumapili Njema;Burudani-10,000 Reasons (Bless the Lord) - Matt Redman,COVERED | Official Planetshakers Video

Wapendwa/Waungwana;Nimatumaini yangu mmevuka salama mwaka 2014 na mmeanza vyema mwaka huu mpya wa 2015.
Nawatakia kila lililo Jema,Furaha,Amani,Upendo,Mafanikio,Ushindi.
Wanaotafuta wenza Mungu akawaonyeshe walio wao,Wanaohitaji Watoto Mungu akawabariki,Uwe mwaka wa Shuhuda na Mkono wa Mungu ukawaguse wenye Shida/Tabu.
Mungu akaonekane kwa kila muhitaji.
Tuwe na Upendo wa kweli,Tusameheane,Tuchukuliane,Tusibebe mizigo isiyo ya lazima.
Tusahau yaliyopita na Tuanze upya.
Mungu ni Mwema sana.
Nawapenda wote.



1Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia. 2Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu ya maji.
3Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa.4Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza, 5mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.
Neno La Leo;Mwanzo1:1-31
26Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” 27 Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. 28Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”
Bible Society of Tanzania

You have removed my shame,
You take as I am
You call me justified,
Now I am covered by Your grace







"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Friday 2 January 2015

Maelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani


Mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie akizungumza na wanaDMV kwenye mkesha wa mwaka mpya
Katika mkesha wa mwaka mpya (2014-2015), Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia , kulikuwa na matukio mbalimbali.

Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.

Karibu umsikilize