Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 5 July 2014

Mahojiano ya Kwanza Production na Diamond Platnumz baada ya tuzo za BET‏


Diamond Platnumz na DMK kwenye utoaji tuzo za BET Los Angeles
Photo Credits: DMK Global Promotions' facebook page
Karibu katika mahojiano ya Kwanza Production na Damond Platnumz. Msanii mwenye mafanikio makubwa kutoka nchini Tanzania
Amejiunga nasi kwa njia ya simu punde baada ya kuhudhuria utoaji tuzo za BET ambako yeye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakiwania tuzo hizo.
Kazungumza mengi kuhusu TUZO HIZO.
Alipopokea na alivyopokea uteuzi wake, aliloliona kwenye tuzo hizo, ulinganishaji wake katika utoaji tuzo hizi na za Tanzania / Afika, alichojifunza, faida ya kuja kushiriki hili na hata mikakati yake ijayo kuhakikisha kuwa muziki wa Tanzania unafika mbali zaidi.
SWALI jingine alilojibu ni kuwa....ni kweli kuwa ili muziki wa Tanzania ushinde tuzo ni lazima uwe na mahadhi ya Afrika Magharibi (kama muziki wake wa Number One) ama Afrika Kusini 
Amejiunga nasi kwa msaada wa promota Dickson Mkama almaarufu DMK ambaye pia ndiye meneja wa msanii huyo hapa nchini.
KARIBU





Thursday 3 July 2014

Chaguo La Mswahili Leo;Michelle Williams - Say Yes ft. Beyoncé, Kelly Rowland.!!!!!

Waungwana Chaguo La Mswahili Leo.Say Yes.....
Mmmhhh Maneno mengi sina..Twende sote sasaaaaa.....
.



Mimi umenishikaaa..wewe je?

"Swahili Na Waswahili" Pamoja Sana
.

Wednesday 2 July 2014

Mahojiano na Kwanza Production na NURU THE LIGHT‏


Photo Credits: Bongo Celebrity 
Karibu katika mahojiano kamini kati ya Kwanza Production na NURU THE LIGHT.
Msanii, Mjasiriamali, Mtangazaji, Blogger na Mwanaharakati ambaye amekuwa mkarimu sana kujiunga nasi moja kwa moja kutoka Stockholm Sweden
Kazungumza mengi ikiwa ni pamoja na alivyoanza muziki
Kisha akagusia kuhusu onyesho lake la kwanza kabisa jukwaani.
Na kama nilivyokuja kumtambua, ni mtu mwenye misimamo na anayejitambua, utamsikia msimamo wake awapo studio
Nikataka kujua pia, nini anaona kama tatizo kubwa kwenye muziki wetu?
Haya ni machache kati ya mengi aliyozungumza nami
JIUNGE NASI



Sunday 29 June 2014

Tumalize JumaPili hii Kwa Amani Na Shukrani;Burudani,Solomon Mukubwa - Mungu Mwenye Nguvu,Ni Kwa Neema Na Rehema - Edson Mwasabwite. Na Siku Kama Ya Leo,Kaka Lusungu Ndondole Alizaliwa!!!

Wapendwa,Tumalizie/Tuendelee na JumaPili Hii kwa,Amani Shukrani,Furaha,Upendo na Matumaini.....
Basi, tuseme nini juu ya hayo?MUNGU akiwa upande wetu,ni nani aliye juu yetu?

Neno La Leo;Warumi:8:31-39
Wala yaliyo juu,Wala yaliyo chini,Wala kiumbe kingine chochote hakitaweza kututenga na upendo wa MUNGU ulio katika Kristo YESU BWANA wetu.

Siku Kama Ya Leo;Bibi Na Bwana I.Ndondole Walipata Mtoto wa Kiume.
Hongera Sana kwa Kutimiza Miaka Kadhaa, Mwl. Lusungu Ndondole
MUNGU azidi kukubariki kila iitwapo Leo,Uendelee kuwa Baraka kwa Wazazi,Familia na Jamii pia.
MUNGU akupe Miaka Mingi na Ufanikishe Ndoto zako.


Mhhhhh Ni Kwa Neema Na Rehema.......




"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe Wote.

Friday 27 June 2014

JESCA KIPLAGAT ELECTRIFYS THE HALL WINNING FACE OF KENYA UK 2014


Jesca won because of her unique story. She was educated by charity, Educated in University using HELB loans and is now in UK on a sponsorship program. In her own words, she says she has received so much its time to give back. Jesca raised £560 for her charity of choice Kapchaselewes childrens home in Marakwet district.

Other contestants had a beautiful English ascent but Jesca proudly pulled a Kalenjin English accent and just really portrayed the pride of Kenya. During the talents, most contestants choose to sing and dance but Jesca chose to have a motivational speech as her talent, this was unique, moving and melting the hall away, she won the audiences hearts
"I must say this was a worthy course to have participated in. I had a wonderful experience, enjoyed myself and as well it has given me a platform to give back to my community. I have attended photo shoots, fundraisers, networking dinner among other initiatives that I have thoroughly enjoyed. I am honoured and humbled by this wonderful experience, It has inculcated in me a sense of nationalism-proud Kenyan and yes giving back to the community which is the ultimate thing that have really made it a worthy course and I promise to lead other youths in the national building exercise as The Face of Kenya UK 2014 BRAND AMBASSODOR".


FUNDS: £ 560 KAPSCHELEWES CHILDREN HOME MARAKWET.




Kwa picha zaidi;http://www.ukentv.com/faceofkenyauk.html
 Video; Africanacts


congratulations sister Janet, great job!

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Sana.

Wednesday 25 June 2014

Katika "HUYU NA YULE" ya NJE-NDANI wiki hii......‏


Photo Credits: Bongo Celebrity 
Katika NJE NDANI wiki hii, mbali na habari kutoka Afrika, utasikia mahojiano yangu na NURU THE LIGHT.

Msanii, Mjasiriamali, Mtangazaji, Blogger na Mwanaharakati ambaye amekuwa mkarimu sana kujiunga nami kutoka Stockholm Sweden

Kazungumza mengi mema

Jiunge nami, MUBELWA BANDIO Jumamosi (June 28) katika NJE NDANI ya Kwanza Production na Border Radio kuanzia saa sita mpaka saa nane mchana kwa saa za Marekani ya mashariki kupitia www.kwanzaproduction.com ama www.bordermediagroup.com