Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 9 February 2011

Wanawake na Mitindo!!!!!!!!!!!!!!!!



Haya wapendwa!Mitindo hii wewe unaionaje au ndiyo kwenda na wakati?.
Je mitindo inatakiwa iendane na sehemu usika? Yaani kama kwenye, Harusi,sokoni,bar na kwingineko.
Wewe unamawazo gani na Mitindo ya kina mama//dada? Tuhabarishane  wapendwa!!!!!!!!

Friday 4 February 2011

Jikoni leo ni Makande!!!!!!!!!!!!


Leo ni mwendo wa Makande wapendwa .Wengine wanayaita Pure sijui wewe  unayaitaje!!!! Jee wewe vipi  unayapenda ?na unapenda kushushia na nini chai,juisi,maziwa,maji au?karibuni !!!!.

Sunday 30 January 2011

Wanawake na majukumu!

Wanawake wa zamani na waleo nani wanamajukumu mazito?.Tulinganishe wa vijijini wa leo na wa zamani,
Pia wa mjini  wa leo na wa zamani. Wa mjini  wa leo wana  wafanyakazi wa ndani,mitandao,Elimu na ujuzi mwingi tu,Pia wa vijijini wa leo wana mashine za kusaga  na huduma nyingine. Je wewe mwenzangu unamtazamo gani?

Tuesday 25 January 2011

Wanaume na mitindo!!!!!!!!!


Kumekuwa na mitindo mingi ya wanaume kama,kusuka,kunyoa kipara,kuweka rasta,kuvaa hereni na mingine mingi!jee mitindo hii inaendana na umri wa mtu?












Wednesday 19 January 2011

Unapokuwa na mawazo faraja yapatikana wapi?



Yaweza patikana kwa kusoma  vitabu,  kwenye mikusanyiko,kuwapekeyako au?
Nasubiri kwako msomaji maana kila mtu ana mawazo ila kuna yanayochanganya!!!!!!!!

Tuesday 11 January 2011

Je matendo yako ya utotoni yanafanana na watoto waleo?

kuvaa nguo za kufanana,,kunywa maji kwa kikombe kimoja, kugombea kitu kama mimi nimekiwahi hiki na vingine vingi!!!!!!!!!!!