Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Zilipendwa. Show all posts
Showing posts with label Zilipendwa. Show all posts

Tuesday 1 October 2013

Ya Kale Ni Dhahabu-Zilipendwa;Arusi!!!!!!

Binti P.. akienda kufunga Ndoa..
Bibi Na Bwana...
Watoto na Show..

Waungwana ya Kale ni Dhahabu..

Unaweza kutambua hii ni miaka gani?
Nini kimekuvutia/Bado Unakipenda na Nini umekumbuka kupitia Picha hizi?
Una Maoni/Ushauri gani kwa Arusi/Wanaofunga Ndoa sasa?

Kama una picha zako za zamani na unapenda kushiriki nasi,Tuma kupitia Email;rasca@hotmail.co.uk.

"Swahili NA Waswahili" Tunawatakia kila la kheri Wanandoa katika Maisha yenu Yoote.

Pamoja Daima.

Tuesday 30 April 2013

Unazikumbuka hizi?,Mtoto wetu[Everyone's Child],Neria na Nyingine-[kwa Kiswahili]!!!!





Waungwana;Filamu/Hadithi hizi na Nyingine ni zamuda.lakini mimi bado nazipenda na nipatapo muda huwa nazirudia...
Yaani zina mafundisho na Mifano/Yaliyotokea/Yanayoendelea Kutokea katika   Maisha ya kweli katika Jamii.

  Kuna lolote unakumbuka,kukugusa,kukutokea wewe au mtu wa karibu,Kusikia Jee?
       
   
kuona Zaidi ingia;swahiliwood

             "Swahili na Waswahili" Pamoja Daima.

Friday 8 February 2013

Ya Kale ni Dhahabu;Burudani(Congo-Soukous)Yondo Sister!!!!!!

   Hahahaahahaha ni wake za watu na ni  mama  za watu sasa....Mke wa Mheshiwa Mbunge alianza zamani kupigilia Suti!!!!!!!
Hahahahaha....Siku Hazigandiiiii mwehhh


Waungwana;Mambo hayo...kama kuna uliyemtambua hapo baelezeee..Tuambieee..


YOndooooo sister ................Tusindikizie Salamu Leo!!!!


Unayo yako/zako za zamani unapenda  kuungana nasi katika kukumbushana? tutumie kupitia email;rasca@hotmail .co.uk

Karibuni Woooteee....hahaaha .

"Swahili Na Waswahili"
Kwaheriiiiii

Tuesday 27 November 2012

Ya Kale Ni Dhahabu;Burudani-Kanda Bongo Man na Brandy - I Wanna Be Down na Nyingine!!!!!





Waungwana "Ya Kale Ni Dhahabu"  Duuhh Zilipendwa.........Haya unakumbuka nini ukiangalia picha hiyo na Miziki hii....hahahhaa Jamani jamani...

 Jee Ulivaa Loso/Rosooo,Robot/Utanikoma Saa Nane, T-shirt iliandikwa Yes/No, Bareeeet/Kofia,Mungu Usinione/Kofia,Raba Mtoni na sketi ya Jeans..... Mkanda wa Kipepeo,wa Plastiki....ulipaka Ayu/Yolanda....Kunyoa Panki,Push Back..... na..... Ongezea Mwenyeweeeee!!!!!!

Leo Nimewaletea Sister Duuuhhh wa Uhakika.........

Ngoja Niimbe kidogo...........Inde moniiiiiiii  Inde moniiii Inde Inde........eeehhh ukishakula umaaa tingisha umaaaa......

Hahahahaha "Swahili NA Waswahili" Mjumbe Hauawiiiiii.....

yeehhh mayebo yakuporaaaaaa dengu kuchanganya na dengueee dengu na piripiriiii.....

Tutumie Picha zako za Enziii  kupitia; rasca@hotmail.co.uk

  Pamoja Daima.