Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Hongera. Show all posts
Showing posts with label Hongera. Show all posts

Monday 1 October 2012

SUNDAY FABIAN & PRISCA'S ENGAGEMENT PARTY HELD IN LEICESTER UK !!!!!



 Will you????
 Yes I will
 Prisca show's off her engagement ring
 The new couple soon to be Mr & Mrs Sunday
 The couple posing with friends and family
 The bride to be posing with well wishers
 Prisca & her sis-in-law Femmy


Femmy & Sunday
 High Table
 Peter & my bro Abeid in the house
 Happy people dancing
 Watu weweeeeeeee
Mr & Mrs Okoye at the party

"Swahili NA Waswahili" Tunawatakia Maandalizi Mema ya Arusi..

Saturday 8 September 2012

Siku kama ya Leo da'Sabrina Kiwinga Alizaliwa!!!

Bint Kiwinga kapoziii!!!

         Mhhhh Shangazi langu hiloo,Anatafakari  miaka 2. si mchezo!!
OOhh yahh  ndiyo mimi Sabrina[SAB'K]!!!
Siku kama ya Leo Familia ya Bibi na Bwana H.S.KIWINGA  wa  HOLLAND walipata mtoto wa Kike wakamwita SABRINA!!! da'Sabrina Leo Ametimiza miaka 2.Familia inamshukuru sana MUNGU kwa Yoote,Wanakutakia kila la kheri maishani,Uwe Baraka kwetu na  watu wote.

"Swahili NA Waswahili" Tunakutakia Baraka,Amani, Upendo na Makuzi mema.MUNGU awe nawe kila iitwapo Leo.

Burudani ya Leo mambo ya ki DUTCH tuu, hahahaah wapi shangazi Rabia. watachekea kwao....................

Waungwana;Kama unapenda kutuma picha za Sherehe na Mengineyo tumia.rasca@hotmail.co.uk
Pamoja Daima

Tuesday 14 August 2012

Siku kama ya Leo da'Leyla Kiwinga Alizaliwa;Burudani-Lady Jaydee - Shamba!!!!!




 Siku kama ya Leo,Familia ya Bibi na Bwana M.S.Kiwinga Walipata Mtoto wa kike na Wakamwita LEYLA.
Naye ndiye Funga Dimba[Mtoto wa Mwisho] wa Familia hiyo.
Da'Leyla Tunakutakia kila lililo Jema Maishani.MUNGU Azidi kukubariki na kukulinda kila iitwapo Leo.Akupe sawaswa na Mapenzi Yake,Uwe baraka kwa Watu Woote.

Pamoja Sana. MUNGU NI PENDO



Monday 16 July 2012

Da'Sandra-Neema Atimiza Miaka14!!!!!!!


                      Duuhh miaka 14 si mchezo!!!!!

                     da' Sandra na Rafiki yake da'Frida[Swahili ya Tz na Swahili ya Kenya] wakiwa Drayton Manor ndipo alipofanyia sherehe ndogo na Wanafunzi wenzie.
Shukrani sana kwa Wanafunzi ,Walimu wa Blue Coat

Familia ya Isaac Tunamshukuru sana MUNGU kwa Mema yoote anayotutendea.Asante sana MUNGU kwa kutujalia na kututunzia Sandra.Tunamuweka Mikononi mwako kwa kila Jambo.Wewe watosha BABA.
Asante sana kwa Woote wanaojumuika nasi kwa namna moja au nyingine katika malezi yetu.

MUNGU Azidi kukubariki sana Sandra-Neema,Uwe Baraka kwetu na kwa Watu Wote.

MUNGU Awajalie pia wanaotafuta Watoto.

MUNGU NI MWEMA!!!!!!!!

Sunday 8 July 2012

Siku kama ya Leo da'Rukia.H.Penza Alizaliwa,Burudani-Tuselebuke!!!!!!!!!!

Mwenyewe Wifi/da'Rukia
Bibi na Bwana Penza
 
hehehee kaka wa mimi hachezi mbali, hapo chini kaweka mkia wa Taa, nasikia alirithi kwa ba'Mkubwa!!

Waungwana Siku kama ya Leo miaka Kadhaa iliyopita, Bibi na Bwana Haidari walipata mtoto wa kike na Wakamwita Rukia.
Kwanza tunawapongeza Wazazi/Walezi kwa yoote.
Asante pia kwa kumzalia Mke kaka Mashaka!!!!!

Wifi/da'Rukia Tunakutakia kila lililojema leo na siku zote Maishani .
Mungu azidi kukubariki na kukulinda na Akupe Miaka Mingi ili ufanikishe Malengo yako.Uwe Baraka kwa Watu wooote.

Swali:Waungwana;Eti ni kweli kuolewa na mume mwenye dada wengi ni karaha na si Raha?
 Anapo penda kaka ni hapo tuu.........Endelea na Tuselebuke aeeee ......mimi nakuja.......
"SWAHILI na WASWAHILI"Pamoja sana!!


Monday 25 June 2012

Da'Rahifah Jamaldin Atimiza Mwaka Mmoja!!!!!!!!!

Mwenyewe  da'Rahifah!!
Akitafakari aanzie wapi kuikata keki!!!
Dada na Kakazz, Wapambe muhimu
Hehehheeh!!! kweli kulea kazi, kaka mtu Bob Malikh yupo bithe kumtengeneza dada yake
Baharia Malikh ..Leo lazima kitakaa hiki, kinanichezea mie ?Dada naye katulia mpaka macho kafumba,utafanyaje na kaka kasema?Hahahahah watu wa Ilala mbona mtakatwa mitama mkimsogelea huyu binti,Chezeya wewe Mchezaji wa kulipwa wa BOMU..............

Baba na mwana,Pole da'Sulhiya[mama mtoto] yeye alikuwa mpiga picha siku hiyo,hatukupata picha yake.
Wakisikiliza Nasaha kutoka  kwa Wazazi  hahahaha
                                                         Dada Rahifah, Akiwashukuru Wazazi,Ndugu, Jamaa na Marafiki.


Da'Rahifah Tunakutakia kila lililojema,Baraka, Amani,Upendo na Makuzi mema.Uwe Baraka kwa Wazazi na Watu wote.
Hongereni sana Bibi na Bwana Jamal.M.Jamaldin[Minanasi].Kwakukuza, Mungu awape Hekima na Maarifa katika Malezi Yenu.


Swali la kizushi;Waungwana kuna aliye na picha za kutimiza mwaka  1-5?.
Au wewe Wazazi wako Hawakuweka Kumbukumbu,Hawakuwa na Tamaduni hizi za mambo ya siku kuu yako ya kuzaliwa?


"Swahili NA Waswahili" Karibuni Wooote!!!!!!

Monday 28 May 2012

Da'Tracey-Sarah,Atimiza Miaka 11!!!!!!!

Da'Tracey-Sarah
Da'Sandra akiandaa Keki
Tumtangulize Mungu kwanza katika Yote!!!

Leo umezima 11,mungu akulinde uzime 100!!!
Anaitwa Mkama; kwakuzima Mishumaa hayuko nyuma,Kama mtoto wako anasuasua kuzima,Tuwasiliane!!
da'Tracey akikata keki na da'Mija akihakikisha mambo yako sawa!!!

da'Elizabeth na da'Mija wakiandaa keki,watu tule!!kweli watoto wa Shoka,Mungu awabariki sana!!
Mama akimlisha Mwana!!
Da'Mija akilishwa na Rafiki yake kipenzi,Mungu azidi kuwaunganisha daima!!
Da'Tracey akilishwa na dada yake!!
Da'Sandra akilishwa na Mdogo wake, duuh kuna haja ya kuongeza sijui!!
Da'Anita akilishwa,Chezea yeye!!!
Da'Asiimwe akilishwa,huwa hana haraka wala maneno mengi,jicho tuu linaongea!!
Da'Manjula aliamua kupanda juu ya kiti,Ale kwa raha,nani anapenda Ufupi?
Kamanda Mkama a.k.a.Mzee wa Next,Akipata kipande chake!!!
Dada Mkubwa,Eliza naye akijipatia keki!!
Pamoja daima!!!!
Katuni/Vibonzo lazima tuangalie!!!
Mapoziiiiiii
Unahitaji wanamitindo? Tuwasiliane.....hahahahaha
Na muziki tulisakata, sikunyingine nitaweka Video!!!Lakini Zilipendwa waligomaaa!!!
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi,da'Mija[Mia] akipozi baada ya kazi kubwa!!
Da'Tracey[Sarah]Akipozi  na Kuwashukuru Wazazi,Ndugu,Jamaa na Marafiki kwa yooote!!!



Familia ya Isaac,Tunamshukuru sana Mungu kwa Mema Mengi aliyotutendea,Asante kwa kumtunza na kumlinda Mtoto wetu Tracey-Sarah na Familia pia.
Asante kwa Kumaliza SAT'S,Salama,wewe ulimlinda akiwa Shule ya Msingi pia Tunamuweka Mikononi mwako Aendapo Secondary.

Shukrani Nyingi Ziwaendee,Familia ya Nyotu[Kamau].Familia ya Manju[Da'Mija Mwanamke wa Shoka].Kaka Don,baba Eliza na Familia yako. Da'Maggie[dadake]Asante sana.

Mungu awabariki sana kwa Moyo wenu wa Upendo na Kutumia Muda wenu kuwa nasi.

Pamoja sana Wapendwa,MUNGU NI PENDO APENDA WATU.Nasi TUNAWAPENDA WOOOOOTE.