tag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post2648852574901533818..comments2023-12-30T03:05:54.487+00:00Comments on Swahili na Waswahili.com: Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akihojiwa na TBC1 juu ya Mafuriko jijini ...Rachel Siwahttp://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-3576781806889138247.post-76583539817911157762011-12-22T14:28:17.447+00:002011-12-22T14:28:17.447+00:00"Tokeni, Wananchi, sehemu za bondeni; na wana..."Tokeni, Wananchi, sehemu za bondeni; na wananchi wanapuuza".<br /><br />Na kusema ukweli serikali ya watu yoyote ile haiwezi ikatumia nguvu zilizozidi kuwafukuza wananchi mabondeni. Labda Mungu mwenyewe ndie Yeye pekee wenye kustahili nguvu hizo!<br /><br /><br />Afrika Kusini nasi, katika eneo la Johannesburg, upo Mto Jukskei; na wananchi wanapuuza kama kawaida kutojenga kandokando na mto huo na kila mwaka, nadhani imekuwa kama desturi, mtoto lazima atakufa na maji huko!<br /><br /><br />Nadhani umaskini unatufanya tujenge hata pale tusipostahili kujenga.<br /><br /><br />Poleni sana WanaDa'salaam! Sijui hali yake Mama Mdogo kwangu ikweje huko Ubungu Kisiwani!!!<br /><br />(Mkuu Wa Mkoa ni mzungumzaji mzuri sana. Hongereni kwa uongozi mzuri)Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.com