Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 9 January 2018

Urembo/Utanashati;Matumizi ya Perfume/Manukato/Mafuta mazuri..

Habari zenu wapendwa/waungwana,Nimatuini yangu mpo vyema..
Leo tuongelee matumizi ya Perfume/manukato/Mafuta mazuri vile wewe unavyoita..
Wewe mpendwa unapenda manukato? jee ipi Perfume unayoipenda sana
au aina gani ya perfume unatumia?
Lini ulianza kutumia haya mafuta mazuri/manukato?
Unasababu za msingi za kutumia au mapenzi  tuu?
Unatumiaje manukato haya? 
unapulizia kwenye mwili,Nguo na kama mwilini ni sehemu zipi?
Wakati gani unatumia?wakati wote au unapotoka tuu
Unajisikiaje ukitumia manukato na usipotumia jee?
Matumizi ya manukato yanaweza kuwa  ulevi kwa mtu/mtejaa?
Umri gani unafaa mtu kuanza kutumia manukato?
Nitatoa zawadi kwa akataye elezea/jibu vizuri


"Swahili Na Waswahili"Pamoja Sana.

1 comment:

Anonymous said...

Very nice blog post. I certainly appreciate this site.

Keep it up!