Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 5 December 2017

Mahojiano Saidi Kanda - sehemu ya 2- NGOMA



Kwa Simu Toka London- Na Freddy Macha 
Kwa kuanzia kama hujawahi kumsikia  Saidi Kanda sikiliza wimbo maarufu "Nasikitika " wa Remmy Ongala. Hizo ngoma kali zinapigwa na nguli huyu mzawa wa Bagamoyo.
Mwezi huu, Desemba 2017,  Saidi Kanda yuko safarini Kenya na Tanzania kushughulikia muziki yake.
 Anahesabiwa kati ya wapiga ngoma stadi ulimwenguni.  Alitunukiwa tuzo ya kwanza ya shirika maarufu la  WOMAD - mwaka 1989. 
Sehemu ya pili ya mazungumzo na Mwanamuziki huyu wa Jadi- Mpiga ngoma mkali - Saidi Kanda- mkazi Uingereza- anazungumzia THAMANI ya Ngoma na vyombo vyetu asilia.




zaidi ingia;
Kwa Simu Toka London- Na Freddy Macha

No comments: