Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 12 October 2014

Nawatakia JumaPili Njema;Burudani-HALELUYA By HemanChoir[Rwanda],NZAMBENA NGUYA byFranck Mulaja[Congo] Na....



Wapendwa;Nawatakia jumapili Njema,Yenye Baraka,Amani,Upendo,Hekima,Kweli na Upole kiasi....


1 Naye Yehoshafati mwanawe alitawala mahali pa baba yake Asa, akajiimarisha dhidi ya Israeli.......

  Neno La Leo;2 Mambo ya Nyakati 17:1-19
 2 Aliweka majeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome, na katika maeneo mengine ya Yuda, na katika miji ya Efraimu ambayo Asa baba yake aliiteka akaweka askari walinzi. 3 Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alifuata njia za awali za baba yake, na wala hakumwabudu Baali.4 Yeye alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzitii amri zake, wala hakufuata matendo ya watu wa Israeli. 5 Mwenyezi-Mungu, aliuimarisha ufalme wa Yuda mikononi mwa Yehoshafati, nao watu wote wakamletea zawadi, akatajirika sana na kuheshimika. 





"Swahili NA Waswahili" Mbarikiwe Sana.

No comments: