Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 21 September 2013

TAARIFA YA MSIBA WA MAREHEMU LILIAN NABURI - TANGA

R.I.P LILIAN NABURI Bwana Ametoa na bwana ametwaa jinalake libarikiwe     Tuungane jumatatu kumsindikiza mpendwa wetu


Marehemu Lilian Naburi
Familia ya Mzee Geofrey Naburi wa Nguvumali Tanga inatangaza kifo cha Binti yao Mpendwa Lilian Naburi kilichotokea Arusha Jumatano ya tarehe 18/09/2013. Mazishi yanategemewa kufanyika Jijini Tanga siku ya Jumatatu ya tarehe 23/09/2013 katika makaburi ya Bombo.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza ukawasiliana na kaka wa marehemu
Ndugu Ben Naburi kwa namba ya simu +255 713 563003
Blog hii inaungana na familia katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe

No comments: