Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 14 February 2013

Siku kama ya Leo da'Nadia Nyembo Alizaliwa[miaka 3]!!!!

Mwenyewe da'Nadia..

Ndiyooo nina miaka 3 sasa wapendwa...

Hata mimi ninamapothiii si Naomi peke yake..hapa vipi Waungwaaaa?

Kama kuna mtu kakosaa nyingine hiiiiiiiiii

Wakitafakari jambo.....

Tabasamu mwanana na Mwalimu...

Mmmh inapendezaa..
Duhh mwalimu wangu mimi nilikuwa namuogopaje? kwanza muda wa kukupakata anao?
Hahahhaa hapana chezeyaST.Government.........

Eti mlikuwa mnasema  mimi Nadia huwa si cheki....sasa manasemaje na mapothii ndiyo hayooo chachaaaaa!!!

Waungwana da'Nadia Nyembo alizaliwa siku kama ya leo ya WAPENDANAO!!!
Ni miaka 3 leo ametimiza...Nadia na Naomi ni Mtu na dada yake,Wamezaliwa mwezi mmoja wamepisha Tarehe kidogo tuu.

Wazazi/Familia..wanaMshukuru sana MUNGU kwa zawadi hii na meengi aliyowatendea..Nadia MUNGU akubariki na kukulinda siku zako zote,Uwe mtoto mwema kwao na kwajamii pia.

Nasi Tunakutakia Maisha/Makuzi mema,Baraka na Amani kila iitwapo Leo.
Uwe Baraka na Neema kwa Wazazi na watu wote..Uwe Kichwa na si Mkia.
Grote moeder houdt van te.
Gezegend worden!!!!!!!!!!!


 hahahhha Oiiii[Mevrouw Mija,U ook lachen!!!!]

Waungwana kaazi kwelikweli...Mambo ya Lugha haya..
tunarudi palepaleeeee mtoto kujua Lugha ya wazazi ni Muhimu?

Sasa tutashindwa hata kuwasiliana mwehhh...
[Niwashukuru wazazi hawa.hata nikipiga simu naamkiwa..Shikamoo ma'Mkubwa]


Lakini kila mtu ana maamuzi yake kwenye malezi yake au....

Nini  Maoni/Ushauri  wako?
Karibuni sana Tuelimishane kwa Upendo.


"Swahili NA Waswahili"Amani na Upendo.

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Hongera Naomi!

rabia nyembo said...

Asante sana maamkubwa siwa na mungu hakuongoze kwa kila jambohongera kwa kujua lugha yetu ya kidachi

Anonymous said...

Hongera sana baby Naomi, we love you

emuthree said...

Hongera Naomi, tunakutakia maisha mema yenye baraka na fanaka tele. Tupo pamoja ndugu wa mimi