Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 13 February 2013

Da'Naomi Nyembo Atimiza miaka 5.!!!!!!!!

Mwenyewe da'Naomi Nyembo..
 
Ahhh..ndiyo nina miaka 5........

Mapothii na Rafiki.....

Urafiki hauchagui Rangi,Utaifa, Dini wala kabila..mbele za MUNGU wote ni watoto wake....

Zawadi kwa Wapendwa Marafiki na Wanafunzi wenzie..Tujifunze kushirikisha watoto katika Utoaji na si Kupokea tuu.


Ahhhhh mwenyewe  da'Rabiah..Mzaa Chemaaaa..mamake Naomi na Nadia..Muke ya Nyembo ...Mutoto ya Abuu Jumaa Mujukuu wa Tuwa!!!!

Waungwana Mtoto wetu
NAOMI NYEMBO..Ametimiza miaka 5..

Wazazi/Familia.Inamshukuru sana MUNGU kwa zawadi ya kuwa na NAOMI..MUNGU azidi kumlinda na kumbariki kwa kila jambo.Awe Baraka kwao na kwa Jamii Pia.

Da' NAOMI nasi tunakutakia kila lililojema naAmani kila iitwapo Leo, Uwe mtoto mwema  na Ufanikishe Malengo yako.
Uwe Kichwa na si Mkia,Ukue na Kuongezeka Imani.


Wazazi/walezi hatua gani ya makuzi ya mtoto wako huwezi kuisahau?
Alitambaa/hakutambaa,Alichelewa kutembea,Alikuwa Mlizi/kulia sana,Kutokulala,Utundu,Kupenda/kutopenda Kula na...............

"Swahili NA Waswahili"Upendo na Umoja.

9 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Hongera da Naomi kwa kutimiza miaka mitano..Duh ilikuwa zamani kweli nilikuwa na umri huo:-)

Mija Shija Sayi said...

Ik kan niet geloven dat de tijd gaat zo snel al, vijf jaar!!!!!!!, Naomi, Ik bid dat God geeft je meer vele jaren te leven.

Gelukkige verjaardag Naomi..

Gefeliciteerd Rabie en Nyembo..

rehema said...

Happybirthday Aunt Naomi, may Allah bless you

Rachel Siwa said...

Dank u mevrouw Mija!!!!!!

Mija Shija Sayi said...

Khaa! Madame Rachel kwa ushapu!! Hahahaa hapo ninahakika Papaa wa nyumba kahusika..!!!au?

emuthree said...

HONGERA KWA kutimiza miaka hiyo, na tunamuomba mungu amjaze heri, baraka na fanaka

mama naomi said...

nashukuru wapendwa wangu wote kwa kumuwish mwanenu naomi mungu nanyi hawabariki kwa kila jambo na bila kumsahau maamkuwa siwa asante sana mama yangu kipenzi.

mama naomi said...

dank u wel @mija shija sayi

mama naomi said...

thanx aunty @rehema