Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 2 January 2013

Poleni Sana; Familia,Wa-Tanzania na Mashabiki wa Sajuki!!!

Marehemu;Juma Kilowoko [Sajuki].

Pole sana Wastara,Familia,Ndugu,Jamaa na Marafiki, Wa-Tanzania na Mashabiki wa Sajuki.Sisi Tulikupenda lakini  Lipangwalo na MUNGU Bina Damu hawezi kulipangua.

  Ulale kwa Amani.

Mboni Yangu-Wimbo uliokuwa ukihamasisha Uchangiaji wa Matibabu ya Sajuki.
Yote hayo yalifanywa kwa Mapenzi mema ili kuokoa Maisha ya Mwenzetu.


Wimbo umeshirikisha mastaa wa kibongo kama Ali Kiba, Wema Sepetu, Mwana FA, Professor Jay, Mzee Yusuph, Chidi Beenz, Fid Q, Afande Sele, Amini, Ditto, Madee, Peter Msechu, Dina Marios na wengine wengi.


"Swahili NA Waswahili" MUNGU awatie Nguvu katika wakati huu Mgumu.
Pamoja Daima.

No comments: