Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 7 August 2012

Ubatizo wa da'Charmaine Mungai;Ulifanyika St .Patrick Church Coventry!!!!!!!!

                    da'Farajika [mama mtoto] na da'Charmaine.
             wazazi wa mtoto na wazazi wa kiroho,Mtoto abatizwa!!!!
       Wazazi  na Charmaine Akishangaa duh jamani sinita unguaaa. 
Baba, Mama na Mwana
Wapendwa walioungana na Familia kwenye ibada ya Ubatizo
Zawadi ya Rosary kutoka kwa ma'Mkubwa Stellah
                             Ma'mkubwa Stellah na Charmaine
Da'Tecla[mama wa Ubatizo] da'Farajika[mama mazazi] na Binti yao.MUNGU Awabariki saaaana.
mama na baba wa Ubatizo na Familia ya Mungai
Familia
Kaka Richad na kaka Isaac, watoto kwa mbalii nao walikuwepo
da'Joyce,da'Farajika,da'Stellah ,da'Tecla na mtoto wao!!

Shangazi, da'Tracey,da'Farajika.


Mamazzzz Pamoja sana.
mama totoo na baba totoo na shangazi walikuwepo!!
                                dada Rose na da'Farajika Mbarikiwe sana!!!!
            dada Rose mwenyeweeee, yeye alikuwa anashughulika na misosi[Chakula] Mmmm tulishiba mamaaa,Asante sana.




  Mmmm hizi zinatosha, Jamani mweehh Shughuli za Waswahili kama una Diet usisogee!!!Mmmm Tamu saaana.

Waungwana J'Pili ya tarehe 05/08/12.Familia ya Mungai na da'FarajikaWalimbatiza mtoto wao Charmaine Mungai.

Ubatizo ulifanyika St.Patrick Catholic Church.Coventry U.K.
Baada ya hapo waliungana na Wageni wao Nyumbani kwao kwa Chakula cha Mchana.

Wazazi hao wa Charmaine Wanawashukuru sana Baba na Mama wa Ubatizo. Ndugu, Jamaa, Marafiki woote kwa kuungana nao kwenye siku hii muhimu ya mtoto wao.
Hawana cha kuwalipa bali Wanawaombea kila lililo jema.

Nasi; "Swahili NA Waswahli" Tunamtakia maisha mema na baraka mtoto Charmaine na Wazazi pia.
                                          "Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

HONGERA SANA MTOTO CHARMAINE..BARAKA ZA MUNGU ZIMEKUFIKIA NA SASA WEWE NI MKRISTO KAMILI.