Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 19 June 2012

TAARIFA YA MSIBA: WILLIAM FOFO MAPUNDA HATUNAYE TENA!!!!!!


Marehemu William Fofo enzi za uhai wake.

Taarifa ambazo zimetufikia hivi punde Ndugu yetu, Rafiki yetu William Fofo maarufu kwa jina la FOFO amefariki dunia usiku huu akiwa nyumbani kwake Tabata.

Taarifa kamili za sababu ya kifo chake bado hatujazipata, pindi tutakapozipata tutawajulisha, kwa sasa taratibu zote inaendelea nyumbani kwake Tabata na mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Amana Ilala Dar es salaam.

1 comment:

emuthree said...

R.I.P William, Poleni sana wafiwa,yote nimapenzi ya mungu.