Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 14 June 2012

Siku Kama Ya Leo da'Rehema [RayK] Alizaliwa,Burudani-Hakunaga by Suma Lee!!!!

Mwenyewe RayK
Bibi na Bwana Kiwinga!!!!!
Uzuri tangu Utotoni,ya Kale ni Dhahabu
Siku kama ya Leo miaka kadhaa iliyopita da'Rehema Alizaliwa.Tunakutakia kila lililo jema katika Maisha yako,Mungu azidi kukulinda wewe na Familia yako.Uwe Baraka kwa watu woote.Tunakupenda na kukuthamini.
Asante kwa yooote,Hakunaga Wifi wa mimi Pamoja Daima.

Swali kwa Waungwana; Hivi nini kinasababisha Mtu na Wifi zake wasielewane?Wivu,Chuki,Tamaa au.......


Karibuni sana kwa Maoni,Mawazo,Ushauri na Kuelimishana kwa Upendo.

Angalizo; Wifi zangu Sitaki kujifunza Kuharibu Nyumba zenu Akuuu hahahhahhaahahah!!!!!!!

Hakunaga hakunaga hakunaaaaa hakunaaa"Swahili na Waswahili" Pamoja sana.

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Hongera dada Rehema kwa siku yako ya kuzaliwa. Kachiki mimi sina wifi kwa hiyo sijui mwenzako..hahahahaa:-) kaaaz<i kwelikweli

Rachel Siwa said...

Hahahahhah da'Kadala huna hata kakawa baba mdogo aliye Oa au wewe ndiyo chanzo kina kaka wasiOe?tehtehteh.......

Anonymous said...

Hongera da Rehema kwa siku yako ya kuzaliwa.mmmmm juu ya uwii jamani ni wivu tu minadhani maana looo usilongwe ukaolewa na familia mumeo ndio mwanaume mwenyewe unakutana na mawii kama wanne looo mie sisemi mimi

emuthree said...

HONGERA KWA SIKU YA KUZALIWA, NAOMBA MAWIFI WAJIBU HILO SWALI!