Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 3 April 2012

NDG. OMARY MJENGA MWAKILISHI WA UNOPS NCHINI SIERA LEONE AMALIZA ZIARA YAKE NCHINI.


Ndg. Omary Mjenga akipiga picha ya kumbukumbu wakati alipokwenda kumtembelea na kumuaga Rais Jakaya Kikwete jana Ikulu.
Hapa ndugu Mjenga akipiga picha na Naibu Waziri wa Jinsia, Watoto na maendeleo ya jamii, wakati alipokwenda kumtembelea.

Baada ya kutoka kuonana na Viongozi hao alishiriki Dinner Party na Wanafunzi wenzake aliosoma nao Shule ya Sekondari Songea Boys ndani ya viunga vya Rose Garden akiwemo na Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi Mh. Philipo Mulugo.
Picha zaidi mtazipata baadae za tukio hili la kihistoria, ambalo kwa mara ya kwanza lilifanyika katika Pub ya KAPINGAZ Pub wakati huo tukimpongeza Naibu Waziri Mh. Mulugo kwa kuteuliwa.
Wana BOX 2 (Wana Luhila) walimpendekeza Ndg. Henry O. Kapinga kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo mpaka pale tutakapo itisha uchaguzi Rasmi.

Omary Mjenga anaondoka leo kurudi Siera Leone tayari kwa kuendelea na kazi zake za UNOPS.

Habari kutoka http://kapingaz.blogspot.co.uk/
Ahsante sana.

No comments: