Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 6 March 2012

Kaka Farid atimiza miaka 14-Ona mambo yake!!!

                                               Poziii
                                     Mpirani
                          Shughulika baba!!!!
                                             Vituko
                                           Mapenzi kwa mama.
Hongera sana kaka Faridi kwa kutimiza miaka 14,Mungu akubariki na kukulinda wakati wote.
Uwe baraka kwa wazazi na watu wote.
Hongera pia Wazazi na Mungu awape Maarifa, Usimamizi na Mema  Yote kwenye Malezi.


Waungwana; Eti watoto Wengi  wa  Kiume ni rafiki/wapo karibu  sana na MAMA kuliko BABA?
Pamoja Wapendwa!!

6 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Hongera sana kwa kutimiza miaka na nakutakia kila la kheri kwa kila jambo utakalofanya..Hongera wazazi pia. Rachel inasemekana hivyo lakini sina uhakika..mie nipo karibu na wote.

Rachel Siwa said...

Ahsante da'Yasinta kwa niaba,da' Yasinta jee shemeji yupo karibu na nani?

Yasinta Ngonyani said...

Nadhani yupo karibu na wote au ngoja nitakuwa macho kuchunguza

Simon Kitururu said...

Hongera Farid!

Anonymous said...

nimechelewa sana kwenye hii mada ila ngoja tu nichangie,yaani bila kupinga mtoto wa kiume na mama jamani mimi ninamifano mingi hai yaani mimi na kaka yangu huu mfano mmoja tu mpaka kesho yaani kwa mama mpaka basi ila na mie na baba yangu ujina mgonjwa na wapenda wote ila baba jamani

Rachel Siwa said...

Asanteni kwa niaba yake,Anonymous; hujachelewa bwana! asante kwa kutushirikisha na karibu sana.