Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 21 February 2012

Nderemo na Vifijo Leo -Rwanda, Ni da'Rubango apata Mwenza!!!!!!




















Hayawi hayawi sasa Yamekuwa! dada Rubango na Mumeo Hongereni sana kwa kuwa MKE na MUME!!
Mungu asimamie maisha yenu yawe yenye Baraka na Amani.

UJumbe;dada Rubango na  nawatakia maisha mema yenye Furaha na Upendo wewe na Mumeo,Mungu awenanyi kila iitwapo Leo,Nawapenda sana.
   Wako Neema Nyanyile
      COVENTRY.

4 comments:

mama sharOo said...

Pendeza sana jamani,maisha mema na yenye kujaa furaha yawafunike...

Yasinta Ngonyani said...

Hongereni sana na karibuni katika maisha ya Ndoa/mume na mke na Mungu ailinde NDOA YENU!!!

emuthree said...

Karibuni kwenye kijiwe, maana maisha hukamilika pale mnapofunga ndoa, na kuwa mke na mume. Twawatakia maisha mema yenye baraka na amani

Anonymous said...

Mwenye Mungu awajalie maisha mema na yenye baraka katika ndoa yenu