Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 27 February 2012

Mtoto Wetu Leo-Sabrina!!!!!!

katika Poziii
Alikuwa MC
Mifugo ni adimu kwao,weee paka njoo hapa!!!
Kwanini jana ulikimbia?utahama humu oohh,haya niamkie..
                                          Kama hutaki ngoja nikuamkie wewe!!!
Waswahili wanasema vyakurithi Vinazidi jee ni kweli?
Jee Watoto wanaweza kurithi Vituko,Ucheshi,Upole na Ugomvi?
Na kwanini baadhi ya misemo ya watoto inafanana kama Maji,kuwa Mma,Nyonyo na.....?
Kunawakati unaweza cheka na Mtoto mdogo au Kulia kwa mambo yake!!!!
Wengine hawapendi kula,kulala Usiku na mambo mengi.Pia kuwa na Mtoto kuna Raha yake!!

Kama wewe huna Mtoto na Unahitaji,Mungu yu Mwema  Uskate Tamaa!!!!

1 comment:

Goodman Manyanya Phiri said...

Tunawaza sawa. Nami najiuliza mara nyingi kuhusu huo urithi kwa watoto. Ninafikiri urithi ni kila kitu, na mazingira ni ujazo tu wake.