Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 30 January 2012

Chaguo la Mswahili Leo-Mana Turagusasiye,Ndugu zangu wa Kigoma Mpoo?

8 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Raha ya mziki hata kama huelewi wanasema nini lakini utamu wake ni mzuri sana ingo ingo....

Rachel Siwa said...

Umeona eeh dada Yasinta, kama unapenda mziki wewe unacheza tuu!

EDNA said...

wacha weee,ngoja na mimi niaze kudua.Da Yasinta na Da Rachael mniimbie..sapula mduru na mapiripiri.

Rachel Siwa said...

hahahahhaah dadake Ednaaa, kaulanzi kidogo alafu kanyaga chini kanyaga,kanyaga chini kanyagaaaaaaaa!!!!

emuthree said...

Tupo pamoja ndugu wa mimi

chib said...

Nami nipo!

Simon Kitururu said...

Poa Sana!

Rachel Siwa said...

Pamoja waungwanaaaa!!' kaka Chib umepoea sana,unatunyima nini huko?