Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 15 September 2011

Waswahili Wetu Leo, Mkubwa na Wanawe/Miaka50 ya Uhuru!!!!!!!!

Haya Mpedwa wewe umejiandaaje na Miaka 50 ya Uhuru?
Sikiliza hayo maneno ya Waswahili, Chura anapenda Maji lakini si ya Moto.
Watoto wa Kiswahili wanatimbwilika/kucheza.Tanzania Kiroho Safi!!!!!!
Je wewe una Amani, Uko Huru? Kila la Kheri.

5 comments:

Anonymous said...

Hahaha kweli bongo noma..huyo si aliimba ile DOGO MFAUME...Da rachel Siwa..

Anonymous said...

Anonymous Ndio huyo huyo Dogo Mfaume..Hahahaha..

Yasinta Ngonyani said...

Si mchezo...mapigo na uimbaji wao umenikumbusha ngoma moja inaitwa madogoli--Sijui kama kweli tunasonga mbele au tunarudi nyuma au tupo pale ple?...

Simon Kitururu said...

Bongo yetu ukichunguza utakuta mpaka Rais mwenyewe hayuko huru!:-(

Rachel Siwa said...

Anonymous wa kwanza naona jibu la Anonymous wa pili linaweza kusaidia, maana mimi sina uhakika wangu, mbona hamajaniambia je ninyi mko huru na mmejiandaaje na uhuru?

@da' Yasinta hata mimi nasikilizia jibu, kama tunakata mbuga au laa maana uhuru wake bwana unamashaka,nionavyo mimi.

@kaka Kitururu hahahahahahaa je wewe uko huru au sababu uko nje upo huru je ukirudi Bongo uhuru wa kweli au......

Ahsante mliochangia na tunaendelea na mawazo ya uhuru!!!!!!